Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,143
- 3,226
Pipa kakazaaaaa weeeeeeh lakini wapi mfuniko umemfunika .
Timu ya kufungwa na Simba duniani asaivi aipo
Timu ya kufungwa na Simba duniani asaivi aipo
Wana midomo sanakiko wapiiii
Naunga mkono hojaMakolo yalivyo kuwa Makolo yangeshangilia sana ingekuwa sare ,na wangeanza kupost msimamo wa Kundi la Yanga kujifariji haya sasa kiko wapi ?
Kawa bubu asemi tenaaUnasemaa??
Mengi sana mapumbavuHii timu kuna wachezaji wa kutimua pale
966JTupashe moja DLS wewe Kiande nikukande kama namkanda kolo vile.