FT: Singida BS 1-2 Simba SC | Ligi Kuu ya NBC | Singida wametepeta!

FT: Singida BS 1-2 Simba SC | Ligi Kuu ya NBC | Singida wametepeta!

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Matokeo:
Singida Big Stars
Goli: Mossi Ndumumwe 38

Simba SC
Goli: Anicet Oura 07
Goli: Elie Mpanzu 85

📍 Uwanja wa Airtel, Singida

Baada ya ushindi huo Simba kupitia ukurasa wao wa Instagram wameandika "Tumekula ndugu wa ile famili", ambapo timu hiyo imefikisha alama 27 katika michezo 12.
Mpanzu.jpg

HDI3XxNWkAAbeGN.jpg

Vikosi vya timu zote;

Timu mwenyeji Singida BS
1773235655830.png

Kikosi cha Simba SC
1773235747654.png

7' Gooooal - Anicet Oura
38' Gooooal - Mossi

FULL TIME.

Singida BS 1-2 Simba SC.

7' Anicet Oura ⚽️
85' Elie Mpanzu ⚽️

38' Mossi Nduwemwe ⚽️
 
Steve Baker ni kocha mzuri..
Lakini bado hajaweza kutengeneza forward line... forward inacheza more individual kuliko mfumo...
Kwa aina ya foward iliyo nayo.. SIMBA ingetisha sana
 
Magoli mengi ya Simba sio ya kimfumo ,( combinations)
 
Mechi muhimu ya matokeo..kweli unampanga MWANGOSI...daraja la Dodoma jiji, prisons etc
 
Refa huyu asipofungiwa nitashangaa, penati mbili zote za wazi. Na BODI YA LIGI ikiwa ina endelea na trend hii ya kuwafungia waamuzi ipo siku Voimanda atakuwa refa wa kati. VAR walileta wakaziweka stoo ili ziwe makazi ya panya?
 
Back
Top Bottom