FT: Simba Sc 0 - 0 Nsingizini hotspurs l CAF CL l second preliminary round l 2nd Leg l Benjamin Mkapa Stadium l 26-10-2025 l 16:00pm.

FT: Simba Sc 0 - 0 Nsingizini hotspurs l CAF CL l second preliminary round l 2nd Leg l Benjamin Mkapa Stadium l 26-10-2025 l 16:00pm.

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
11,858
Reaction score
36,542
Next Match : Simba SC vs Nsingizini hotspurs.
Screenshot_20251025-184202~2.jpg


Starting Xl ya Simba SC
Screenshot_20251026-155715~2.jpg


All the best Simba SC 🦁
#Nguvu moja.
 
Kesho usiku itakuwa breaking news
Ma tattoo kafukuzwa bila hata kusubiri xmass
 
A day of performance!!
Mabibi na mabwana, karibuni mfurahie pira Pantev..One touch football.
In Tannzania we call it pira birian.
In South Africa they call it Shoeshine and piano.
In Spain it is called Tik taka football

Ladies and gentlemen, welcome to the Show
 
Msemaji wenu alikuwa anaombea timu zote zitolewe, ibaki 5imba tu ili muendeleze ngebe za kwamba makolo pekee ndio wanaweza kimataifa.
 
Mashabiki mjitokeze kwa wingi leo uwanjani kuitazama hiyo mech ili mshinde goli nyingi na hivyo timu kupata hela ya kutosha ya kiingilio, na ile ya goli la mama!

Kumbukeni njaa haina baunsa.
 
Mashabiki mjitokeze kwa wingi leo uwanjani kuitazama hiyo mech ili mshinde goli nyingi na hivyo timu kupata hela ya kutosha ya kiingilio, na ile ya goli la mama!

Kumbukeni njaa haina baunsa.
Punguza ushauri
 
Back
Top Bottom