Huyu mchezaji ni mbovu kuliko wote katika NBC Ligi kwa sasa. Ni mzigo kwa mashabiki.Freddy kakosa goli peke yake hakuna hata anayemkaba
Anachofurahisha zaidi, akipata mpira akili yake inawaza mbele sio wengine ambao wakipaata mpira akili zao zinawaza kufunga kwenye goli lao. Na hapoozeshi mpiraHuyu chasambi huyu dogo anaupiga aloo 🙌
Kichwa chako kichafuTRA Ndio Kipimo Sahihi Cha Simba SC
Simba wajiangalie wasje bambikiwa mapato hewa a,k,a..Uhujumu uchumi😂😂😂Kipindi cha pili a anaongoza 2 -0
anacheza kwa kutumia akili sana kwa umri wake nimependa.Anachofurahisha zaidi, akipata mpira akili yake inawaza mbele sio wengine ambao wakipaata mpira akili zao zinawaza kufunga kwenye goli lao. Na hapoozeshi mpira
Kimejaa Vuzy tu! Nakazia.....Kichwa chako kichafu
Mnachekesha sana nyie ama kweli maskini akipata matako hulia .....ta malizia mwenyewe robo fainali moja mdomo kama wote...TRA ndio level ya Simba.
Sio tuko Misri na wa level yetu.
Ile fainali ya mwaka jana kwani haihesabiki?Mnachekesha sana nyie ama kweli maskini akipata matako hulia .....ta malizia mwenyewe robo fainali moja mdomo kama wote...