Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 1,684
- 2,344
Hii mechi tunashinda tu.
Mechi mbovu sana hiiHuu mpira wa leo ni mzuri tuache utani
Ni kama imechezwa dakika 60Umeona eeh
Mwishooooni ni dakika ya ngapi mkuu maana mpira tayari umeisha 1 - 1Wataachia Mwishooooni.!
Shaban Chilunda na Ayubu Lyanga wamezingua sana.Sub ya azam coach amekosea