Wana kiungo kizuri Ila forward bado inababaikaAzam wame dominate game huku wakikosa nafasi nyingi
Yani Kibu asee kuna muda unajiuliza ni professional player kweli?ila kibu ana akili ndogo mnoo
Ya kakiBahasha gani
Bora iwepo VAR wapate kazi ingine ya kutoa hongo hukoMwamuzi huwezi kung'ata filimbi kwenye clear penaty kama ile. Ni bora wadau wa michezo tukachangishana ili ipatikane hata VAR moja tu ya kukata mizizi ya uonevu wa aina hii, kutoka kwa waamuzi wa mchongo.
Kwakweli VAR ni muhimu sanaBora iwepo VAR wapate kazi ingine ya kutoa hongo huko
Umeona eehMoja ya mechi tamu sana msimu huu
Mbebwe mara ngapi?Sasa namna hii Zikiongezwa Dk 10 Utasikia Wanabebwa..!
Yule si tulimpa hela,ila nyinyi leo mmempa hela refa mmeshika mara mbili kapeta.Ile ya kipa wa dodoma ilikuwa ni zaidi ya rose muhando.