FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

Wachezaji wa Azam ni wazito sana kwenye kuruka mipira ya kona na faulo za nje ya 18! Wapunguze ufather na kulea vitambi aisee!
 
Kocha wa Azam hizi sub zake lengo nini kutoa wapi wa kazi na kuingiza watu laini?
 
Back
Top Bottom