44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,142
Wawakilishi hao wa Afrika wamepoteza kwa magoli 2-0 katika mchezo wa Kundi A kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2022.
Licha ya kuonesha ushindani mzuri kwa muda mrefu, #Senegal waliruhusu magoli dakika za mwisho kutoka kwa Cody Gakpo dakika ya 84 na Davy Klaassen dakika ya 90+9.
Kwa matokeo hayo Ecuador wanaongoza kundi wakiwa na pointi 3, sawa na Uholanzi huku Senegal na Qatar wakifuatia kwa kutokuwa na pointi.
=========
~ Kipindi cha pili kinaendelea, matokeo bado ni 0-0.
~ Kipindi cha pili kimeanza.
~Kipindi cha kwanza kimekamilika, matokeo ni 0-0.
Huu ni mchezo wa Kundi A, tayari mechi ya kwanza ilichezwa jana wenyeji Qatar wakiangukia pua kwa kufungwa magoli 2-0 dhidi ya Equador.
=========
Salaam! Leo Waafrika tunaanza kutupa karata yetu kwa kuanza kuvuna tulichopanda kwa miaka minne iliyopta!
• Je, kukosekana kwa Sadio Mane kutaathiri vipi timu ya Senegal?
• Hizi timu zmewahi kukutana mara ngapi na matokeo yalikuwaje?
• Mech inaanza saa ngapi kwa masaa ya huku Afrika Mashariki?
• Senegal ana asilimia ngapi ya kushinda hii mechi?
Licha ya kuonesha ushindani mzuri kwa muda mrefu, #Senegal waliruhusu magoli dakika za mwisho kutoka kwa Cody Gakpo dakika ya 84 na Davy Klaassen dakika ya 90+9.
Kwa matokeo hayo Ecuador wanaongoza kundi wakiwa na pointi 3, sawa na Uholanzi huku Senegal na Qatar wakifuatia kwa kutokuwa na pointi.
=========
~ Kipindi cha pili kinaendelea, matokeo bado ni 0-0.
~ Kipindi cha pili kimeanza.
~Kipindi cha kwanza kimekamilika, matokeo ni 0-0.
Huu ni mchezo wa Kundi A, tayari mechi ya kwanza ilichezwa jana wenyeji Qatar wakiangukia pua kwa kufungwa magoli 2-0 dhidi ya Equador.
=========
Salaam! Leo Waafrika tunaanza kutupa karata yetu kwa kuanza kuvuna tulichopanda kwa miaka minne iliyopta!
• Je, kukosekana kwa Sadio Mane kutaathiri vipi timu ya Senegal?
• Hizi timu zmewahi kukutana mara ngapi na matokeo yalikuwaje?
• Mech inaanza saa ngapi kwa masaa ya huku Afrika Mashariki?
• Senegal ana asilimia ngapi ya kushinda hii mechi?