Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,405
Sasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la pili, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
Game is on.
Sasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la kusawazisha, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
Hivi huwa mnaangalia mpira kwa kutumia nini, hilo goli Gabon wamepatia wapi? Kama hadi hilo mnakosea tuwaamini vipi kwenye maoni ya performance ya mchezaji?Sasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la kusawazisha, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
Point Ni mwamba Mayele kafunga goli la pili wakati Sakho anarukaruka kwaoHivi huwa mnaangalia mpira kwa kutumia nini, hilo goli Gabon wamepatia wapi? Kama hadi hilo mnakosea tuwaamini vipi kwenye maoni ya performance ya mchezaji?
Senegal walishafuzu kitambo wakati DRC bado wanapambania nafasi. Na tangu lini tunawalinganisha hao wawili?Point Ni mwamba Mayele kafunga goli la pili wakati Sakho anarukaruka kwao
Kwenye livescore wanaomesha MayeleHivi huwa mnaangalia mpira kwa kutumia nini, hilo goli Gabon wamepatia wapi? Kama hadi hilo mnakosea tuwaamini vipi kwenye maoni ya performance ya mchezaji?
Sasa takwimu za Mayele zinahamia National team, anaifungia Congo goli la kusawazisha, goli kama hili linapatika Uefa tu na world Cup.
Game is on.
Yuko benchi lakini ametetema kwa vibe lote.Nasikia Varane wetu naye anatetema uko kumbe anataminig akiwaona Utopwinyo wanatikisa tirries
Najua Mayele kafunga ila nilikuwa namkosoa aliposema score ni 1-1Kwenye livescore wanaomesha MayeleView attachment 2661837
Uwanja mzima Wacongo wanatetema Kimayele Mayele.Acha bangi goli gan la kusawazisha wakati Drc wanaongoza 2
Hongera kwake, tunapenda kuona mambo kama hayo ili Ligi yetu ipate kuheshimika zaidi.Lilepo anawekwa benchi na mayele ujue mayele ni international player
Mpira unaangalia wapi wewe acha kudanganya watuUwanja mzima Wacongo wanatetema Kimayele Mayele.
Huyu Mayele ameshindikana ni Halaand mtupu.
We jamaa ukishafikaga kwenye mambo ya Yanga unakuwaga mwehu sanaUwanja mzima Wacongo wanatetema Kimayele Mayele.
Huyu Mayele ameshindikana ni Halaand mtupu.
Punguza makasiriko, wenzako tuna angalia boli huku tunashushia na whisky, wahi ukale kesho baniani anakungoja akusurubu, usitufuatishe wenye government bond.Najua Mayele kafunga ila nilikuwa namkosoa aliposema score ni 1-1
Huyu kaona livescore kama mimi au pengine kwenye magrupu ya Uto wamempa taarifa.Mpira unaangalia wapi wewe acha kudanganya watu
Ndondocha, nakula mema ya nchi, ni happy hour saa hizi.WE jamaa unasimuliwa nn
Mbona siku zote tumekuwa tukiwasema humu kuwa mashabiki wa Yanga ni waleviPunguza makasiriko, wenzako tuna angalia boli huku tunashushia na whisky, wahi ukale kesho baniani anakungoja akusurubu, usitufuatishe wenye government bond.