Next time tutaweka matokeo wakati uto wanapigwa nusu fainali.Simba 4 pamba 0
We unafungwa goli la kwanza mpaka la tatu hustuki tu kuwa hii ni kimbari!!!
Badala mkae chini na mpi0nzani mbagain kujua ulimkosea kitu gani we unatunisha misuli kwa kelele za wapambe
Kwani Uto...wanasemaje ?Uto mjiandae punda nyie
Nimebahatisha tu.Hongera kwa Utabiri..Umesomea wapi..?
kwani ulibet?Simba 4 pamba 0
Sijawahi kubet mkuu.kwani ulibet?
Mayele atakuwa amepanic sana. Illonga tena?Makolo mmekuja wenyewe ghato la masela lazima mliwe kimasihara
Makolo mmekuja wenyewe ghato la masela lazima mliwe kimasihara
Illonga ndo yule alikuwa anatetemeka kama kuku anaeumwa mdondo?Mayele atakuwa amepanic sana. Illonga tena?