Tumewekwa tayari, wakiendelea kujilinda tutakufa hata 3 hapa.Hawa wanafungika kiubua tu sioninsababu ya simba kuwapa heshima ya namna hii
Shuka chini chini huko tafuta ZBC 2 kama cjakoseaKwa Azam ni namba ngapi
Amefanyaje mkuu?[emoji16]Huyu enonga sijui kama tutakuwepo naye msimu ujao
Hawana muendelezo mzuri leo watafanya vizuri kesho wataboronga, hasa fullbacks wetu.Ubovu wa beki ya Simba ni endelevu.
Mkuu naomba link ya moja kwa moja basii maana naona kuna mavitu mengi hukooIngia hesgoal.com ugalie mechi bure
Mkuu naomba link ya moja kwa moja basii maana naona kuna mavitu mengi hukoo
Hayuko mchezoni leo, ila sasa nani ataingia?Kapombe Atokeeeee
Alichofanya zimbwe sijapenda
Waarabu wanakuja na mabillion yaoHuyu enonga sijui kama tutakuwepo naye msimu ujao