Front Page ya Gazeti la Uwazi

Front Page ya Gazeti la Uwazi

Mi nikiingia nyumbani kwa mtu au ofisini nikakuta magazeti ya udaku mezani naondoka mara moja, coz najua hatuna la kuongea!!
 
Katika free country huwa hawafungii magazeti.
Kama unaona gazeti limeandika sio facts,nenda mahakamani ku li sue.
Mwanahalisi limefungiwa Tanzania
Kwa mwandishi wa huo udaku lazima atakuwa katumwa ili kupunguza kasi ya Pengo kuinanga serikali.
 
Baba msamehe mwandishi wa habari wa habari hii kwa maana hajui atendalo.
 
Hapa ndo ule msemo wa wahenga 'mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu'
unapofanya kazi. Masheikh wa zanzibar, muft wa bakwata, pamoja na sheikh Ponda walivokuwa wakiandikwa mi vichwa ya habari ya kuwadhalilisha mliona raha eeeeh!
HAHAAAAA Leo yamewakuta.
Tusubiri matokeo.
Pia kuna TETESI kuwa hata PADRE MUSHI alikuwa muuza unga..!
Mmmmh..! Enewei tuiachie Serikali ifanye kazi yake.
 
Mwenzu yuko kazi kuwatumikia watu, ila muda sio mrefu ataumbuka

Inapotokea mtoto kuchungilia chumbani kwa wazazi wake ni hapo tunapoona Shigongo anapojaribu kuchokoza viongozi wa dini wasiona hatia hizo anazoziandika. Amekosa maadili kwa wazazi wake huyu Shigongo
 
Kwani 'hao wenzetu' huwa wana viongozi? Wao si wapo tu vimobu mobu kwa ajili ya maandamano na kila kimobu hakikitambui kimobu kingine unless wanakusudia kufanya fujo sehemu.

kwahiyo ni kweli sisi tunausika na themanini Madawa, duu
 
Shigongo anauza unga ni dealer wa siku nyingi aache kuzuga kutafuta watu ubaya kama anabisha aape mbele za Mungu afe kama kweli hauzi unga

Ni Mungu gani huyo anayeua???? Mbona siku ile ulisema Mungu wenu hapiganiwi?
 
Wakatoliki na jamii ya Wakristu huwa ni watu wa amani. Ingekuwa ni wenzetu wameandikwa ungekuta Shigongo leo anachomewa nyumba. Katoliki ni dhehebu la viongozi wa wasomi wanaofuata kanunu na sheria za kanisa na za nchi husika.

Sijasoma commete yyt inayofurahia jambo hili lakini kwa upumb******* unaanza kuwakejeli waisilamu
Hivi shingongo ni nani kiimani
Hv unajua usafi wa kiongozi wako kidini?????
 
Kwani Pengo ni nani zaidi ya mwanadamu mwingine anayetenda makosa!!! tumeshuhudia maaskofu na makadinalia wakiwalawiti watoto wa kiume ndani ya kanisa. Mungu pekee ndio anayejua na sio mwanadamu.
 
Back
Top Bottom