No.-- Jina-- kiasi-- umri-- biz-- Uraia
#1. Carlos Slim Helu-- $69B --72-- telecom-- Mexico
#2. William Gates III-- $61B -- 56-- Microsoft-- United States
#3. Warren Buffett-- $44B-- 81-- Berkshire Hathaway-- United States
#4. Bernard Arnault-- $41B-- 63-- LVMH-- France
#5. Amancio Ortega-- $37.5B-- 75-- Zara-- Spain
#6. Larry Ellison $36B-- 67-- Oracle-- United States
#7. Eike Batista $30B-- 55-- mining oil-- Brazil
#8. Stefan Persson-- $26B-- 64-- H&M-- Sweden
#9. Li Ka-shing-- $25.5B-- 83-- diversified-- Hong Kong
#10. Karl Albrecht-- $25.4B-- 92-- Aldi-- Germany
Hao jamaa hapo juu ndio matajiri duniani sasa hivi. Kati yao namba 1,2,3,5,6,7,9,10 wametafuta hela wenyewe yaani ‘self made'.
Ukiangalia umri wao na ulinganishe na average ya wana JF unabaini ya kwamba kuna miaka nyingi kabla kufikia huu umri wa hawa matajiri.Hivi nataka kuwaambieni ya kwamba kuna mda wa kutosha wa kila mmoja hapa JF kuwa tajiri duniani. Usiwe na haraka yakuwa tajiri, usiogope kuchukuwa carefully calculated risks, ukifeli usiogope kunyanyuka, kujifuta mavumbi na kuanza upya, usiwe na regret ya uliyo yafanya huko nyuma, ukifika kiwango fulani cha hela wekeza kwenye asset ambazo hazitaweza kupotea kwa bahati mbaya, yaani uweke cushion ya kuto rudi sifuri,kuwa na malengo makubwa na ujipe moyo mwenyewe hata kama hakuna mwingine anaye kuunga mkono. Usichezee hela nyingi kwenye starehe , do not just work hard,work smart, utafurahia kuanza kupanda hiyo ngazi ya matajiri wa duniani. Mhimu saaaana ukipata idea ambayo haipo au haijajaribishwa popote,usiogope kuifanyia kazi. Matajiri wa kupindukia wana tabia za kufanya mambo hayajafanywa na mwingine.
"I've failed over and over and over again in my life. And that is why I succeed."Michael Jordan