Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,613
- 17,646
Eeeh nipo nyuma ya muda sana japo muda wote nipo humu jf ..Mageni kwangu haya poleWe nawe usichokoze wafu waliozikwa na kudra zao.
Pendo mchezo.
Unadhani kupendana ni kama matako, kila mtu anayo...
Natafuta mwanaume mpya sasa
Hahahah aibu tunaona sisi mashemejiHahahhahaha
Haiwezekani.
Maji yakimwagika shoga
@manengelo unaona lakiniHahahahhah
Jamani mbona hivo...hahaha
Mie yule nimemshindwa.
Mie najiweka kando
hahahahaha madame nimesimama sehem naanguka mbav mm ...yaan ww mm sijui huwa nakuangaliaej[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!upo zaid ya real..ukiguswa tu ww ushalipuka[emoji23][emoji23][emoji23]yaan ww magonjwa ýya sonona mtapishana nayo msamvu round abt
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahah....angalie usianguke.
Asa yeye hiyo quote anaitaka nani hapa?
Ahhhh mie sipendi kujichoshaga na vijineno vya sonona.
Angeweka huko kwenye nyuzi zingine wala nisingeona...ila kaweka hapa, ujue ana maana yake.
KhaaaaaWanaume michosho tu samtaim.
Soon nitajiunga CHAPUTA
[emoji23][emoji23][emoji23]Basi bakini nao hao wanaowasikiliza.
Acha sie wenye masikio ya popo tupende tunapotaka.
Tangu umeanza kusoma pale mwanzo, nimekwambia natafuta bwana hapa!
Nawe usinichoshe wewe.
Kama huna la kuongea, kapige nyeto
Itakuwa safari ndogo nasikia ukinywa his lazima uwe mgomvi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo unaknywa bia gan kali hvyo
Hahahhahamanina
Mpya tena!?We nawe usichokoze wafu waliozikwa na kudra zao.
Pendo mchezo.
Unadhani kupendana ni kama matako, kila mtu anayo...
Natafuta mwanaume mpya sasa
😂😂😂Mpya tena!?
We mama wewe
Cheka peke yako usiniambukize huku lol[emoji23][emoji23][emoji23]
Cheka peke yako usiniambukize huku lol
Huyu mwanamama anafurahisha sana
Sifa positive kwa maoni yangu.Sifa gani nyingine unayoijua ya kwangu mimi?
Njoo nawe nikutungie shairi
Haahahahhah King Kong III we nipe tena hongera zangu bhanaMwanzo nilitoa hongera kwa kumpata Mung ila sasa sijui niseme pole au hongera tena? Ok anyway Bring Back Our Ben Saanane ,, Shark I see you , Jirani Arushaone pamoja sana!