si wapuuzi hata kidogo wapuuzi sisi Wtz tunawapandisha wanawake majukwaani wakakata viuno wakiwa karibu uchi, wapuuzi sisi watz tunajidai kuwatafutia haki wanawakea huku miili yao tukiitumia karibu kila tangazo la biashara kujitaftia faida, mbona mtu mkewe hamuajiri akakatike kiuno mbele jukwaani akiwa nusu uchi? wenzetu wanajaribu kutunza utu wa mwanamke usitumiwe vibaya na wanaume washenzi, unajuaje kama wale vijana walikuwa wanataka kumfanyia ufukunyuku yule bibi,mke wa mtu?wasaudi ni wapuuzi sana, hii haihusiani na dini kabisa,ni unyanyasaji wa wanawake tu.
si wapuuzi hata kidogo wapuuzi sisi Wtz tunawapandisha wanawake majukwaani wakakata viuno wakiwa karibu uchi, wapuuzi sisi watz tunajidai kuwatafutia haki wanawakea huku miili yao tukiitumia karibu kila tangazo la biashara kujitaftia faida, mbona mtu mkewe hamuajiri akakatike kiuno mbele jukwaani akiwa nusu uchi? wenzetu wanajaribu kutunza utu wa mwanamke usitumiwe vibaya na wanaume washenzi, unajuaje kama wale vijana walikuwa wanataka kumfanyia ufukunyuku yule bibi,mke wa mtu?
Shafik Rashid mfanyabiashara adai kwamba kijana aliyempiga Mzee Mwinyi alikuwa anatetea Uislam, naomba Waislam mtupe ukweli. Ni utetezi wa dini au ni ukosefu wa adabu??