gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Wandugu habari zenu,
kila siku katika maisha yetu ya kila siku tumekuwa tukipata huduma kutoka sehemu mbalimbali. Sasa kupitia uzi huu tunaweza ku-share sehemu mbali mbali ambako wanatoa huduma mbaya. Lengo ili kama wahusika wapo humu wajirekebishe
Binafsi, niko boared sana na huduma za
Tigo-callcenter yaani wanaboa sanaaaa! unapiga simu dk 30 afu ikipokelewa wanaongea kwa nyooodo!
kila siku katika maisha yetu ya kila siku tumekuwa tukipata huduma kutoka sehemu mbalimbali. Sasa kupitia uzi huu tunaweza ku-share sehemu mbali mbali ambako wanatoa huduma mbaya. Lengo ili kama wahusika wapo humu wajirekebishe
Binafsi, niko boared sana na huduma za
Tigo-callcenter yaani wanaboa sanaaaa! unapiga simu dk 30 afu ikipokelewa wanaongea kwa nyooodo!