Madame B sitakikata nitakiosha kwa maji na sabuni
Sasa faini yake aje atupe hapa tukae viti virefu na the tutamwambia kama bado anakubalika au bado yuko under probation
stevoh inabidi tuwe hivyo aise maana kama ulikuwa na wiki karibu mbili hapa na umeuchuna hata kututafuta hufai kuwa mwana arachuga
Tunafikiria nafasi yako hii bora tukuondoe akina Madame B wakupe uraia wa dar
Mr Rocky pole sana, umeongea kwa uchungu mno.
Huyo wa kwenu huyo.
Mwanao akipuu kwenye kiganja chako, utakikata na kukitupilia mbali au utauosha mkono Mr Rocky?
Naomba jibu.
We nawe hukufanya fair, kwanini hujawatafuta wa chamani wenzako?
Ukitengwa, usikimbilie huku chama la Dar, huku kwenyewd akina Baba V na akina Bishanga tiamaji tiamaji.
Mkuu LIKUD wengine tushaonana face to face na bado hatukutambulishana majina halisi zaidi ya haya haya ya humu na wengine tunajuana mpaka majina halisi mkuu
Mkuu LIKUD wengine tushaonana face to face na bado hatukutambulishana majina halisi zaidi ya haya haya ya humu na wengine tunajuana mpaka majina halisi mkuu