Jaman ni majukumu tuuu...
Wale wa Arusha mnisamehe sijawaoona kabisaaa...
Ni majukumu ndio yamenifanya hivi...
Niko safarini ndani ya basi la...
Nawarudia akina Madame B. N.k.
Naombeni m
stevoh inabidi tuwe hivyo aise maana kama ulikuwa na wiki karibu mbili hapa na umeuchuna hata kututafuta hufai kuwa mwana arachuga
Tunafikiria nafasi yako hii bora tukuondoe akina Madame B wakupe uraia wa dar
stevoh inabidi tuwe hivyo aise maana kama ulikuwa na wiki karibu mbili hapa na umeuchuna hata kututafuta hufai kuwa mwana arachuga
Tunafikiria nafasi yako hii bora tukuondoe akina Madame B wakupe uraia wa dar
Mr Rocky pole sana, umeongea kwa uchungu mno.
Huyo wa kwenu huyo.
Mwanao akipuu kwenye kiganja chako, utakikata na kukitupilia mbali au utauosha mkono Mr Rocky?
Naomba jibu.
Jaman ni majukumu tuuu...
Wale wa Arusha mnisamehe sijawaoona kabisaaa...
Ni majukumu ndio yamenifanya hivi...
Niko safarini ndani ya basi la...
Nawarudia akina Madame B. N.k.
Naombeni m
We nawe hukufanya fair, kwanini hujawatafuta wa chamani wenzako?
Ukitengwa, usikimbilie huku chama la Dar, huku kwenyewd akina Baba V na akina Bishanga tiamaji tiamaji.
Mr Rocky pole sana, umeongea kwa uchungu mno.
Huyo wa kwenu huyo.
Mwanao akipuu kwenye kiganja chako, utakikata na kukitupilia mbali au utauosha mkono Mr Rocky?
Naomba jibu.
Madame B sitakikata nitakiosha kwa maji na sabuni
Sasa faini yake aje atupe hapa tukae viti virefu na the tutamwambia kama bado anakubalika au bado yuko under probation