Friji yangu inawaka na kuzima

Friji yangu inawaka na kuzima

kitanesi

Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
43
Reaction score
28
Habari za wakati huu wanajamvi wataalamu wa Mambo ya umeme naomba msaada,Nina kofriji kidogo nikikonect na umeme kinawaka kama dk moja kinazima, halafu baadae kinajiwasha Tena kinazima hivyo hivyo sijui tatizo Ni Nini naomba mnisaidie kutambua tatizo na Kama Kuna fundi mitaa ya karibu na lufungira mwenge Mlimani survey au sinza naomba mawasiliano yake, Asanteni Sana
 
Habari za wakati huu wanajamvi wataalamu wa Mambo ya umeme naomba msaada,Nina kofriji kidogo nikikonect na umeme kinawaka kama dk moja kinazima, halafu baadae kinajiwasha Tena kinazima hivyo hivyo sijui tatizo Ni Nini naomba mnisaidie kutambua tatizo na Kama Kuna fundi mitaa ya karibu na lufungira mwenge Mlimani survey au sinza naomba mawasiliano yake, Asanteni Sana
Kiutaalamu ni tatizo la Thermostat, lakini kiuhalisia ni bovu nunua jipya
 
Acha kumkatisha tamaa mwenzio.
Wataalamu husema rahisi huwa Ghali. Ukiangalia Pesa za matengenezo Kila mwaka, utajikuta Bora ugelinunua jipya litakuwa rahisi kulikoni kutengeneza hilo kongwe
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Back
Top Bottom