Friji, kabati na sofa

Duu, nimechelewa kuliona hili tangazo. Vipi wameshamaliza? Nataka friji.
 
Mwenye godoro wakuu,anichek pm,ndo kwanza nimepata room,nalalia jamvi
 
Mkuu hilo friji nalihitaji iyo namba umeweka ni mtu mwingine tuwasiliane pliz
Sorry nimetengeneza nyingine namba chukua hapo juu airtel wameniambia shida so piga no hiyo au pm nimekutumia nyingine
 
Vitu vingine muwe mnagawia ndugu zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…