mkuu io ya watoto nakuunga mkono lakini io ya bendera i am not so sure kama nakusapot
Sisi hatukuonana barabarani. Urafiki wetu umeanzia mbali sana.
Wa kwetu umeanzia karibu!
Pumbavu (I mean kama ile ya Mkapa kule Arumeru Mashariki)
Ha ha ha ha hahaaaaaa! Angalia tu usile ban na ugeni wako JF! Wenzio sie wazee humu. Ila sikutegemea hilo jibu! Ama kweli waswahili wa pemba.....! Lol!
We sister vipi? We Mjinga nini? (I mean siyo tusi, nayo kama ya Mkapa kule Arumeru Mashariki). Kama ni tusi unaniombea Ban, Mbona Wapinzani hawakumfungulia Mkapa kesi ya kuwatukana.
Pumbavu! (Kama ya Mkapa) . . . lol
Kwanza mgeni Kuku, ebo! Nina kamba miguuni mimi? Mjinga kabisa (Ya Mkapa)
Haki ya nani we mtoto labda nisikushike! Wala sihitaji kukuombea ban! Omba tu nisikutie mkononi! Labda ubadili mtaa.