Fridge inauzwa kwa bei ndogo sana

Fridge inauzwa kwa bei ndogo sana

newbegin

Senior Member
Joined
Jun 3, 2016
Posts
109
Reaction score
16
Members nina fridge naiuza! fridge ni yangu ila nimeshaitumia. Ninaiuza kwa sababu ninauhitaji wa hela haraka zaidi japo ina tatizo kidogo

Matatizo yake
>inawaka ila imepata tatizo la kushindwa kupoza ila unaweza kurekebisha kwa bei ndogo sana tu.

>mlango wa chini unazingua kufungwa kwa sababu pata yake ilidondoka wakati inaamishwa ila unaweza kuipata na kuiweka mlango ukafungwa vizuri tu tena kwa bei ndogo sana

Hii ina sehemu mbili yaan juu fridge na chini freezer

Bei yake ni Laki mbili tu (200,000)
Kwa mawasiliano nitext au nipigie hapa 0689154853

WAHI OFFER HII

PICHA
Inayouzwa laki mbili ni hiyo nyeupe ila na hiyo ya pembeni inauzwa ila yenyewe ni full freezer na haijatumika inauzwa laki sita (600,000)

1469639708640.jpg
1469639715730.jpg
 
Members nina fridge naiuza! fridge ni yangu ila nimeshaitumia. Ninaiuza kwa sababu ninauhitaji wa hela haraka zaidi japo ina tatizo kidogo

Matatizo yake
>inawaka ila imepata tatizo la kushindwa kupoza ila unaweza kurekebisha kwa bei ndogo sana tu.

>mlango wa chini unazingua kufungwa kwa sababu pata yake ilidondoka wakati inaamishwa ila unaweza kuipata na kuiweka mlango ukafungwa vizuri tu tena kwa bei ndogo sana

Hii ina sehemu mbili yaan juu fridge na chini freezer

Bei yake ni Laki mbili tu (200,000)
Kwa mawasiliano nitext au nipigie hapa 0689154853

WAHI OFFER HII

PICHA
Inayouzwa laki mbili ni hiyo nyeupe ila na hiyo ya pembeni inauzwa ila yenyewe ni full freezer na haijatumika inauzwa laki sita (600,000)

View attachment 372054View attachment 372055
180,000/= unapata fridge used toka ulaya karibu na mpya wewe hilo skrepa uuze 200,000/=? Hahahah hilo freezer la laki 6 ni 150,000/= tu kariakoo
 
180,000/= unapata fridge used toka ulaya karibu na mpya wewe hilo skrepa uuze 200,000/=? Hahahah hilo freezer la laki 6 ni 150,000/= tu kariakoo
ni rahisi sana kuongea!!! ila tufanye hivi
1) hilo unaloliita scraper nenda uinunue ikiwa used toka ulaya kwa 180k ntakurudishia, kkoo/popote hizo used ni 350k mpaka 320k sasa mimi nauza 200k na napunguza kidogo! hivi wabongo tuko vip?? sio lazima kuchangia kama hujui/huna uhakika

2)hiyo ya laki sita ni freezer sasa wew nenda kkoo uinunue hiyohiyo ya kusimama na ukubwa huohuo afu ntakurudishia hizo hela, mimi nimesema naiuza 600k na inapungua tukiongea zaidi lakin kkoo huipati hata kwa laki tatu! mimi nimenunua laki sita kamili na sijaitumia hata mara moja! kkoo nishazunguka sana usilete uongo hapa!
 
ni rahisi sana kuongea!!! ila tufanye hivi
1) hilo unaloliita scraper nenda uinunue ikiwa used toka ulaya kwa 180k ntakurudishia, kkoo/popote hizo used ni 350k mpaka 320k sasa mimi nauza 200k na napunguza kidogo! hivi wabongo tuko vip?? sio lazima kuchangia kama hujui/huna uhakika

2)hiyo ya laki sita ni freezer sasa wew nenda kkoo uinunue hiyohiyo ya kusimama na ukubwa huohuo afu ntakurudishia hizo hela, mimi nimesema naiuza 600k na inapungua tukiongea zaidi lakin kkoo huipati hata kwa laki tatu! mimi nimenunua laki sita kamili na sijaitumia hata mara moja! kkoo nishazunguka sana usilete uongo hapa!
acha uapeli wewe hlo skrepa hata bure sitaki...

hizo freezer unauza ghali mnoooo, tena skrepa wakati kariakoo bei cheeee

siku hizi hivyo vitu sio ishu coz akina BOSS wameleta bidhaa kali kwa bei poa.
 
acha uapeli wewe hlo skrepa hata bure sitaki...

hizo freezer unauza ghali mnoooo, tena skrepa wakati kariakoo bei cheeee

siku hizi hivyo vitu sio ishu coz akina BOSS wameleta bidhaa kali kwa bei poa.
sawa mkuu! siongei kwa kitu ambacho sikijui pia siuzi kupata faida! nauza napata hasara kidogo! so kama wewe unaona mi muongo basi endelea kuamin hivo hivo! afu acha kuniita tapeli! mimi sio dalali mimi nauza kilicho changu,ndani kwangu!
 
Mkuu Gesi ya Helium imegunduliwa Tanzania, ndio inayotumika kupoozea so hatuna sababu ya kununua screpa hio laki2, kwanza la kizamani sanaaaa alaaah!
 
Mkuu Gesi ya Helium imegunduliwa Tanzania, ndio inayotumika kupoozea so hatuna sababu ya kununua screpa hio laki2, kwanza la kizamani sanaaaa alaaah!
mkuu mbona hii kitu mbona ngumu kuielewa? mimi nauza kwa bei hiyo na inapungua! sasa kama wewe hutaki kununua si bora ukae kimya tu?? unaponda ili iweje? na helium utaanza kuitumia lini? sometimes ongea kama mtu mzima bana!
 
ni rahisi sana kuongea!!! ila tufanye hivi
1) hilo unaloliita scraper nenda uinunue ikiwa used toka ulaya kwa 180k ntakurudishia, kkoo/popote hizo used ni 350k mpaka 320k sasa mimi nauza 200k na napunguza kidogo! hivi wabongo tuko vip?? sio lazima kuchangia kama hujui/huna uhakika

2)hiyo ya laki sita ni freezer sasa wew nenda kkoo uinunue hiyohiyo ya kusimama na ukubwa huohuo afu ntakurudishia hizo hela, mimi nimesema naiuza 600k na inapungua tukiongea zaidi lakin kkoo huipati hata kwa laki tatu! mimi nimenunua laki sita kamili na sijaitumia hata mara moja! kkoo nishazunguka sana usilete uongo hapa!
Hela ya kumrudishia utapata wapi mkuu wakati umesema hata pesa ya kurekebisha hiyo nyingine huna,acha kutudanganya bwana
 
Hela ya kumrudishia utapata wapi mkuu wakati umesema hata pesa ya kurekebisha hiyo nyingine huna,acha kutudanganya bwana
kwa sababu najua na yeye hawezi kuinunua! anaongea tu! ila mimi sina haja ya kuongea uongo hapa! ila naona yeye analeta utani kwenye mambo ambayo ni serious
 
Back
Top Bottom