Fridge 90W vs radio 250W kifaa gani kinakula umeme zaidi

nxon

JF-Expert Member
Jul 16, 2011
1,162
406
Eti wataalamu wa mambo kati ya hivi vifaa vya umeme fridge ina 90Watts na radio ina 250Watts vikiwa kwenye matumizi ipi inakula umeme sana?
 
Inategemea unawasha kwa muda gani.. kwa mfano kila kifaa ukikiwasha kwa saa moja;
1. fridge itakula 0.09Kwh
2. radio itakula 0.25Kwh...
 
Inategemea unawasha kwa muda gani.. kwa mfano kila kifaa ukikiwasha kwa saa moja;
1. fridge itakula 0.09Kwh
2. radio itakula 0.25Kwh...

sasa bro mbona wananiandama eti fridge langu linamaliza luku? kipindi kabla sijanunua fridge tulitumia units 5/day pamoja na redio ya 250W ila sasa hivi ilivyoongezeka fridge units 5 hazitoshi zinaenda mpaka units 8/day
 
sasa bro mbona wananiandama eti fridge langu linamaliza luku? kipindi kabla sijanunua fridge tulitumia units 5/day pamoja na redio ya 250W ila sasa hivi ilivyoongezeka fridge units 5 hazitoshi zinaenda mpaka units 8/day
Nikionacho hapo ni fridge kuwashwa continuously 24/7 wakati redio unaiwasha ukiwa home tu
 
sasa bro mbona wananiandama eti fridge langu linamaliza luku? kipindi kabla sijanunua fridge tulitumia units 5/day pamoja na redio ya 250W ila sasa hivi ilivyoongezeka fridge units 5 hazitoshi zinaenda mpaka units 8/day

kuna uwezekano kuna mtu mwingine ana fridge kama wewe ukweli ni kwamba ili zifike unit 8 kama wanavyodai friji lako linakula umeme uwiano ni kwamba friji inawaka masaa 33 ndio zitaongezeka unit 3 je unaliwasha kwa muda huo??
 
kuna uwezekano kuna mtu mwingine ana fridge kama wewe ukweli ni kwamba ili zifike unit 8 kama wanavyodai friji lako linakula umeme uwiano ni kwamba friji inawaka masaa 33 ndio zitaongezeka unit 3 je unaliwasha kwa muda huo??
huwa usiku nalizima na kuliwasha mchana kutwa, pia kuna mpangaji mwenzangu ana fidge fupi hizi.. sasa huyu jamaa tulimwekea vikwazo asitumie kabisa ile fridge inatafuna luku si mchezo masaa 3 units 5 zinaisha mimi wakaniruhusu nilitumie langu sasa wameshanza niekea jam tena eti linakula umeme
 
kuna uwezekano mkubwa kuwa matumizi wengine wameongeza kwa kujua wewe una friji ili tu mkomoane... maana kwa mahesabu ya fasta mchana kutwa haizidi masaa 15..

nashkuru kwa mchango wako mkuu sasa ngoja nifanye utafiti wangu mwenyewe leo usiku nisiwashe chochote zaidi ya taa then kesho niangalie zimebaki ngapi.
 
Power always inakuwa proportionally na current,au umeme unafuata nguvu ya kitu hivyo power ikiwa kubwa ndo itatumia umeme mwingi.
 
Eti wataalamu wa mambo kati ya hivi vifaa vya umeme fridge ina 90Watts na radio ina 250Watts vikiwa kwenye matumizi ipi inakula umeme sana?

Ukweli no kwamba fridge inakaaa kwenye umeme muda mref hivyo kufanya nishati nyingi ipotee I.e nishat inayotumika= power (kilowatts)× muda(hours). Lkn redio yenye watts nyingi utumika Mara chache, Mara nyingi tunatumia pindi tuwapo home. Ndo mama unit zinaemda chache
 
sasa bro mbona wananiandama eti fridge langu linamaliza luku? kipindi kabla sijanunua fridge tulitumia units 5/day pamoja na redio ya 250W ila sasa hivi ilivyoongezeka fridge units 5 hazitoshi zinaenda mpaka units 8/day

Fridge ina mota...'induction power'...na mara nyingi uwa inajiwasha na kujizima...wakati inajiwasha huwa inanyonya umeme mwingi kwa ajili ya hiyo (induction power), starting power inaweza kufika hata 500W ingawa inakuwa kwa muda mfupi. Hivyo kuna uwezekano ongezeko hilo linatokana na frigdge.

Redio unafikia kiwango cha 250 W pale unapofungulia kwa sauti kubwa...maximum volume. Lakini kama redio unafungulia kwa sauti ya chini...kunauwezekano ikawa inatumia just 80 W.
 
Fridge ina mota...'induction power'...na mara nyingi uwa inajiwasha na kujizima...wakati inajiwasha huwa inanyonya umeme mwingi kwa ajili ya hiyo (induction power), starting power inaweza kufika hata 500W ingawa inakuwa kwa muda mfupi. Hivyo kuna uwezekano ongezeko hilo linatokana na frigdge.

Redio unafikia kiwango cha 250 W pale unapofungulia kwa sauti kubwa...maximum volume. Lakini kama redio unafungulia kwa sauti ya chini...kunauwezekano ikawa inatumia just 80 W.

It makes sense.
 
Fridge ina mota...'induction power'...na mara nyingi uwa inajiwasha na kujizima...wakati inajiwasha huwa inanyonya umeme mwingi kwa ajili ya hiyo (induction power), starting power inaweza kufika hata 500W ingawa inakuwa kwa muda mfupi. Hivyo kuna uwezekano ongezeko hilo linatokana na frigdge.

Redio unafikia kiwango cha 250 W pale unapofungulia kwa sauti kubwa...maximum volume. Lakini kama redio unafungulia kwa sauti ya chini...kunauwezekano ikawa inatumia just 80 W.

Kwa nyongeza licha ya kufungulia vol hadi mwisho inategemea unasikiliza nini. Kusikiliza mziki mzito ni tofauti na kusikiliza hotuba ya Obama. Ulaji wa umeme ni tofauti.
 
Fridge ina mota...'induction power'...na mara nyingi uwa inajiwasha na kujizima...wakati inajiwasha huwa inanyonya umeme mwingi kwa ajili ya hiyo (induction power), starting power inaweza kufika hata 500W ingawa inakuwa kwa muda mfupi. Hivyo kuna uwezekano ongezeko hilo linatokana na frigdge.

Redio unafikia kiwango cha 250 W pale unapofungulia kwa sauti kubwa...maximum volume. Lakini kama redio unafungulia kwa sauti ya chini...kunauwezekano ikawa inatumia just 80 W.

Umeelezea vizuri japo mi si mtaalamu nimepata picha.

Pia nimeskia hizi home theatre zinakula sana umeme unapotumia CD/DVD. Nahisi ni mota inayozungusha hizo disk
 
Kwa nyongeza licha ya kufungulia vol hadi mwisho inategemea unasikiliza nini. Kusikiliza mziki mzito ni tofauti na kusikiliza hotuba ya Obama. Ulaji wa umeme ni tofauti.


Kwa kuongezea kuna utafauti kati ya. kusikiliza nyimbo za injili zinatumia umeme kidogo ila. hip hop inakula. umeme sana.
 
sasa bro mbona wananiandama eti fridge langu linamaliza luku? kipindi kabla sijanunua fridge tulitumia units 5/day pamoja na redio ya 250W ila sasa hivi ilivyoongezeka fridge units 5 hazitoshi zinaenda mpaka units 8/day

sasa unalalamika nini? umekubali kabla ilikuwa unit 5, baada ya kuleta frj yako ya kichina imekuwa unit 8, tumlaum nani sasa? kumbuka hiyo frj yako huzm, kama unaona shida nunua luku yako, au usiwashe friji. Sasa ulitaka izo unit 3 zinazoongezeka agharamie nani? "UKITAKA KULA LAZIMA UKUBALI KULIWA, LAKINI USIPOKUWA MAKINI UTALIWA SANA"
 
Back
Top Bottom