Kama utakuwa na mpango utanambia basi nimwambie bibie tukujoin eehsiijui
Whats happening? JD tu au?Nasikia kuna club inaitwa much more kuna party ya Jack Daniel.
mtaa wa mkwepu.
Unasikiaga ina maana club Billicanas haupajui?.......hujui kama hiyo much more iko humo humo Club Billicanas na ni mali ya Mbowe?Nasikia kuna club inaitwa much more kuna party ya Jack Daniel.
mtaa wa mkwepu.