French Class

Paragons

Member
Joined
May 3, 2016
Posts
60
Reaction score
47
Habari zenu wakuu;

Naomba radhi kwa wale wote walioshindwa kunipigia jana wakati soma la Kifaransa linafundishwa star t.v; inasababishwa na watu wachanche ambao wakipiga simu hawataki kuachia line kwa watu wengine. Kwa wale wapenzi wa lugha ya KIFARANSA, nawaomba msikate tamaa, hata kama somo linakua limepita, unaruhusiwa kunitafuta kwa muda wako kama bado unahitaji msaada zaidi.

Merci!
 
Bonjour, comment vous allez?
 
mwalimu wangu kitambo sijui alikuwa anaitwa shaibu na yule mmama nimemsahau hata jina kifaransa chao cha burundi ndio kimeishia hapo nifundishe mapya, tafadhali.
 
mwalimu wangu kitambo sijui alikuwa anaitwa shaibu na yule mmama nimemsahau hata jina kifaransa chao cha burundi ndio kimeishia hapo nifundishe mapya, tafadhali.
Uko Dar?
 
usijali hivi karibuni utapata masomo mazuri kwenye Youtube. Wasalimie Kigoma...
nikija mjini nitakuletea migebuka niamini mimi ni samaki mvuri kuliko king fish.
Au revoir
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…