Fremu inapangishwa Mwenge, mkabala na TRA Dar es salaam

Fremu inapangishwa Mwenge, mkabala na TRA Dar es salaam

Donny9990

Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
89
Reaction score
12
Kama unahitaji frem ya kupanga Mwenge. DSM Opposite na TRA ipo. kwa mwezi ni 250,000 tu haipungui, frem ni kubwa kwa mamizi mbali mbali, napia kwa wale wanaoweza kufanya huduma na TRA mfano ya kifedha (Max malipo nk), kama upo serious nicheki kwa 0684448888 or 0713415537
 
Sorry mkuu nina line ya tigo pesa na bado sijapata eneo la kuifanyia biashara

Njoo uchukue frem pale inakufaa ila ujiandae kuongeza line zingine mana pale kuna biashara sana ya pesa hasa watu wanaokuja kulipia vitu vya TRA kama tin no
 
Hahahah
Mleta mada kaleta Vizuri sana.
Lakini kuna mmoja kavuruga kila kitu.
Donny,hembu nijuze kabla ya hapo frame hiyo ilikuwa na biashaa gani.Na je umeme ni wa kushare au unajitegemea.
Na je jengo lenye frame hiyo ni la ghorofa nikiwa na maana kama frame ipo chini
 
Mkuu piga nitakupa maelezo kamili, ila ni ya chini na ipo oppozt TRA get la kutokea, km upo serious njoo uchek ipo wazi.
 
Back
Top Bottom