Freemasonry Wametushika kila kona


Du unatisha mkuu. If you cant fight them join them!
 
Hahahahaha hivi who said "My people shall perish for lack of knowledge..." Jesus ee?
 

100% accurate
 
Biblia inasema hakuna alie hai ambae ataacha kuitumia namba hiyo ya mpinga kristo, lakini mungu anawajua walio wake.
 

Wakikung'oa kucha Mimi sipo. Ngoja waje wakatoliki wakujibu.
 
Kwaio itakua inawakilisha kashetani kadogo dogo hivi, au mtoto wa shetani?

hahahaaaa Mimi sijui. Ila wanasema ikitokea siku umeamka 3:33 usiku waandikie ndugu zako usia wa Mali zako.
 
Jamaa aliongea Upuuuuuuuzi mtupu. Only fools will fall for that
 
Ni kweli kwani mfumo wa saa ulipotoshwo na watu wa imani ya mungu jua yani wanao abudu jua kama mungu na ndio hao free mason wenyewe siku ilikuwa ina anza jua linapo tua na ilikuwa saa 12 jioni na saa 12 asubui system ya sekunda 60 na dakika 60 imeletwa na viongozi wa dunia ambao walitaka kueneza maabudu ya mungu jua duniani MUNGU hakupanga dakika wala sekunde ni ujuzi na utaratibu ulio wekwa na watu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Sawa kabisa mkuu haya ni mambo ya kufikirika tu hakuna uhalisi ndiyo maana yanajadiliwa kijueni ,watanzania tuache blabla tufanye kazi haya mawazo hayatakuwepo mtu yeyote akiwa na pesa watu mnaanza kusema freemasoni huyu
 
mh! hapa nitarudi kujifunza, ni mada mzuri

Jifunze hii.
Degree kubwa ya freemason ni 33
Yesu alikufa na miaka 33
Mfalme Daudi alitawala miaka 33
Uti wa mgongo wa binadam una vifundo 33
Temple ya Nabii ya yerusalem ipo mile 33 kutoka baharini
Jua ujinzungusha core yake kila baada ya siku 33
 

yesu alifanya miujiza 33
washington dc ina nguzo 33
nguzo moja ni meter 33
ilijengwa 1733
 
kila kitu?

nimembiwa au imeandikwa?

umetumia kipimo gani kujua mi simwelewa?

huwezi kuwa mwalimu


hujui hata nipo vipi au nalenga picha ipi?

unawajua FREEMASONS?

Unajua dunia upo kufanya nini?

NASIKITIKA SANA KWA UPEO WAKO

Division 5 mkubwa wewe!!!!Afu we si umeingia humu June 5 wewe!!Sio kosa lako ukiwa mzoefu utabadilika.
 

Kama umeenda shule,nakushauri hiyo kitu achana nayo kabisa
 
Are you SDA...???

Unapo copy na Ku-paste jaribu ku-edit angalau...

Umesema umesoma kupitia mtandao eti "mpango huo utaanza 23/03/2013"....
Utaanza au ulianza....???

Umbumbumbu ni kitu kibaya sans..
we soma kama huelewi funga bakuli lako!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…