mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
bro pale Lumumba una CHEO GANI?mtabadilisha majina tu ila joto lajiwe lazima mlisikie
maana bidii yako si ya nchi hii.
bro pale Lumumba una CHEO GANI?mtabadilisha majina tu ila joto lajiwe lazima mlisikie
Tupe mifano usibwabwaje tuuWewe ndiye hauko sawa upstairs. Unakuwa kama bendera kufuata upepo, achana na wanasiasa watakuyumbidha tu otherwise na wewe ni walewale. Wanasiasa wanachotaka ni kutawala hivyo watatumia njia zote za kuidunisha Serikali. Sasa kutokana na umburura wenu mnadhani hao wa upinzani wakiingia hiyo ideal democracy, mnayolilia mtaipata. Wapi wapinzani barani Afrika walipochukua madaraka walibadilika kuwa wa-demokrasia?
Wametoka jela kwa akili yako umeona wamenyooka, mbona bafo wapo defiantSafi sana tunashukuru mmeelewa sasa Lazima mnyooke tu mlizoea kuleta uhuni uhuni tu hata kwenye mambo ya msingi.JPM wanyooshe tu mpaka waombe poo.
Jpm sio Rais dhaifu kama walivyokuwa wakimuita JK
Kama kile cha kwako pale Ufipabro pale Lumumba una CHEO GANI?
maana bidii yako si ya nchi hii.
lakini utakuwa umenizidi mshahara.Kama kile cha kwako pale Ufipa
tena mbowe ni zaidi ya dikteta maana kila aliyetaka kugombea uenyekiti tu alimuondoa kwa kisingizio cha usalitiWewe ndiye hauko sawa upstairs. Unakuwa kama bendera kufuata upepo, achana na wanasiasa watakuyumbidha tu otherwise na wewe ni walewale. Wanasiasa wanachotaka ni kutawala hivyo watatumia njia zote za kuidunisha Serikali. Sasa kutokana na umburura wenu mnadhani hao wa upinzani wakiingia hiyo ideal democracy, mnayolilia mtaipata. Wapi wapinzani barani Afrika walipochukua madaraka walibadilika kuwa wa-demokrasia?
Kamtaja mtu hapoooo au ww ndo unamuita ivyo?Hawa viongozi sijui hawajasoma,hata masharti ya dhamana hayajui,hili la kumsimanga Raisi magufuli pia ni kosa la jinai wasubiri tu akaoge halafu wamueende tena.
Mkuu karibu kijiweni.Kama kile cha kwako pale Ufipa
Anamdhihaki rais??Kwani hukumuelewa nini mpaka utafutie watu balaa ?!
Au hujui kati ya uchwara na kamili nini maana yake ?!
Mmmmh najua umeamua kuzungumzia vyeti feki kuna mtu wa nyumban kwenu umeshndwa kumwambia cku nying sasa unajidai unatukana jiran kumbe unamsema yy!! Ila hongera hawez kujua umemlenga nan !!! C unajua tena atajua unapigana na maadui wake kumbe unamlenga yy!!!Bila shaka utakuwa na vyeti feki!muuza unga &mpiga dili aliyekwama awamu hii
Hawa jamaa ni wanafiki sana.Hawa hawa akina mbowe pale muembe yanga tunahtaji raisi aliekuwa diktekta aje ainyooshe hii nchi ikae sawa
Anamdhihaki rais??
Wewe wasema !!Anamdhihaki rais??