Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe muda mfupi ujao ataingia uwanja wa Taifa kuhudhuria mechi ya Simba na Yanga.
Kiongozi huyo ataingia uwanja wa Taifa akitokea Jijini Mbeya ambapo jana alihudhuria mechi ya Mbeya City na JKT na kukaa Jukwaa la Mbeya City ambapo timu hiyo ilishinda 1-0
Taarifa zinasema Mbowe hatakaa Jukwaa la VIP linalotumiwa na viongozi uwanja wa Taifa bali atakaa Jukwaa la wananchi wa kawaida kama alivyofanya jana Mbeya.
Jana kiongozi huyo alikataa kukaa Jukwaa kuu alipokuwa mkuu wa wilaya ya Mbeya badala yake akaenda na msururu wa msafara wake kwenye wananchi wa kawaida hali iliyosababisha uwanja mzima kumshangilia kwa mayowe ambapo mkuu wa wilaya alionyesha hali ya kukata tamaa na wasiwasi mkubwa.
Kiongozi huyo ataingia uwanja wa Taifa akitokea Jijini Mbeya ambapo jana alihudhuria mechi ya Mbeya City na JKT na kukaa Jukwaa la Mbeya City ambapo timu hiyo ilishinda 1-0
Taarifa zinasema Mbowe hatakaa Jukwaa la VIP linalotumiwa na viongozi uwanja wa Taifa bali atakaa Jukwaa la wananchi wa kawaida kama alivyofanya jana Mbeya.
Jana kiongozi huyo alikataa kukaa Jukwaa kuu alipokuwa mkuu wa wilaya ya Mbeya badala yake akaenda na msururu wa msafara wake kwenye wananchi wa kawaida hali iliyosababisha uwanja mzima kumshangilia kwa mayowe ambapo mkuu wa wilaya alionyesha hali ya kukata tamaa na wasiwasi mkubwa.