samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Sabaya aliiambia mahakama kule Moshi, "alikuwa anaishi kama mkimbizi baada ya kutishiwa maisha...hivyo alikuwa akiishi kwa kujificha ficha na taarifa hizo mamlaka za juu zilikuwa zikifahamu na vyombo vya dola vikifahamu.. " haya maelezo ya Sabaya tuyazingatie sana na mkumbuke alikuwa mtumishi wa umma na kama kweli alitishiwa maisha ni kwamba alitishiwa kama mtumishi wa umma aliyekuwa akitimiza majukumu yake...