Freeman Mbowe, kwanini una mlaghai Lowassa?

Freeman Mbowe, kwanini una mlaghai Lowassa?

ImageUploadedByJamiiForums1447040450.901035.jpg
 
Ni walioko wodi za pale mlimani kupita jengo la shule ya hazina dodoma ndiyo pekee wanaoweza kumwamini Mbowe (yaani wagonjwa wa akili waliolazwa milembe ndiyo wenye sifa za kumwamini Mbowe kama hutoki humo unatakiwa kukaa mbali na discodancer huyo)
Mbowe amefanikiwa sana kwenye biashara ya kisiasa. Siasa zinampatia utajiri mkubwa.
 
Kura hazikuibiwa vituoni.
Ziliibwa pale kwa Lubuva. Ulitegemea red brigade wafanye nini?
Wale vijana waliokuwa wanajumlisha kura kwanini mliwakamata?
 
Sasa zile kura milioni 10 alizosema lowasa kapata alipata wapi majumuisho yake?
Wameambiwa pia waonyeshe fomu ambazo ni copy kwa kila wakala wao wa vituo vya kupigia kura ambazo ni tofauti na matokeo yaliyotangazwa na NEC. Wameshindwa kuonyesha!
 
Kama nitakubaliana na hoja yako ina maana uchaguzi ni batili na serikali ya Rais Magufuli ni batili. Fine!

Kama kweli serikali ya Rais Magufuli ni batili basi wabunge wa CHADEMA/UKAWA wasiingie bungeni kuisimamia serikali ya Rais Magufuli ambayo ni batili. Kuisimamia serikali batili ni kuharalisha ubatili!

Nadhani unafahamu kazi ya bunge ni kuisimamia serikali.

Tofautisha bunge na Mbunge. Mbunge kazi yake nikumuwakilisha mpiga kura wake. Basi. Bunge ni kufanya mengi likiwemo la kusimamia serikali. Katika mengi Mbunge atamuwakilisha mpiga kura wake isipokuwa hilo la kusimamia serikali.
 
Kwa heshima na taadhima ilikuwa busara Mbowe ajiuzulu wadhifa wake, Maana siasa Zake za kilaghai zimechangia chama kutoa kauli zinazokinzana kila wakati.

Ni vigumu Chadema kuaminika mbele ya jamii kwa uongozi huu huu wa Mbowe, Chadema kinahitaji fikra na changamoto mpya na sio za mazoea kama za sasa.
 
Kwa heshima na taadhima ilikuwa busara Mbowe ajiuzulu wadhifa wake, Maana siasa Zake za kilaghai zimechangia chama kutoa kauli zinazokinzana kila wakati.

Ni vigumu Chadema kuaminika mbele ya jamii kwa uongozi huu huu wa Mbowe, Chadema kinahitaji fikra na changamoto mpya na sio za mazoea kama za sasa.
Uwezo wa Mbowe kuongoza chama ndio umegota!
 
Kwa heshima na taadhima ilikuwa busara Mbowe ajiuzulu wadhifa wake, Maana siasa Zake za kilaghai zimechangia chama kutoa kauli zinazokinzana kila wakati.

Ni vigumu Chadema kuaminika mbele ya jamii kwa uongozi huu huu wa Mbowe, Chadema kinahitaji fikra na changamoto mpya na sio za mazoea kama za sasa.
Uwezo wa Mbowe kuongoza chama ndio umegota!

Hizo hekima zenu za kuiandama CDM mngeisaidia CCM ili iweze kusimama yenyewe bila kuitegemea dola kusaidia uchakachuaji.

CCM ni dhaifu bila kuitegemea dola haisimami
 
Nilifikiri mlivyojipa urais kwa wizi wa kura mtatulia, kumbe bado mnaweweseka! Kweli. Mbowe kiboko yenu!
 
Kama nitakubaliana na hoja yako ina maana uchaguzi ni batili na serikali ya Rais Magufuli ni batili. Fine!

Kama kweli serikali ya Rais Magufuli ni batili basi wabunge wa CHADEMA/UKAWA wasiingie bungeni kuisimamia serikali ya Rais Magufuli ambayo ni batili. Kuisimamia serikali batili ni kuharalisha ubatili!

Nadhani unafahamu kazi ya bunge ni kuisimamia serikali.

Serikali ni ya watanzania chini ya Magufuli...Magufuli kaajiriwa na watanzania wachache na analipwa mshahara kwa kodi za watanzania wote wa ccm na ukawa na vyama vingine!!! Na wabunge wetu wamechanguliwa na wananchi wa tanzania na co Magufuli... So wanakwenda kusimamia serikali ya watanzania kutetea haki za watanzania waliowapa kura!!!!!!! Kama hoja yako hyo basi kama upinzan hutak uingie bungen basi na wananchi wa vyama vya upinzani wasilipe kodi ambazo zinawalipa wabunge mishahara na kila kitu kifanye ccm!!!!! Ingekua serikali ni JPM asingeomba apewe ridhaa ya kuiongoza angeichukua tu bila hata kuomba kura!!!!!! Tundulissu hawezi acha kwenda bungen kisa hajamkubali rais kapewa ridhaa na watu wa jimbo lake na atakwenda kuwawakilisha wananchi wanaomlipa mshahara wake!!! Kama bunge ni la ccm mkajenge lenu lumumba au bumbuli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom