Freeman Mbowe, kwanini maridhiano sasa?

Lakini damage waliyoifanya ccm kwa upinzani ni kubwa sana na itachukuwa other five years or ten years to amend.

Hali ya nchi haiko upande wa Magufuli hivyo ni lazima atafute Chaka la kujifichia.
Kalazimishwa na wastaafu alete mshikamano wa kitaifa lasivyo wenye chama wampoke tiketi ya kugombea 2020.

So tegemeeni ushirikiano wa kutosha kati yake na wapinzani kuelekea uchaguzi 2020 na baada ya uchaguzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KLM bhana, Mfalme wenu keshekaa vibaya, mtafanyaje sasa? Mtamcheka au kumfunika? Chaguo ni lenu!
 
Naona sasa huko cdm mtumbwi umetoboka rasmi kila mtu anaongea lake! Hata wewe mfia chama lialia unaanza kumdoubt the permanent chairman ila angalia huyo ni mtu mzito na sio wa mchezomchezo usaliti utakuhusu
 
Mimi mpaka leo sijajua maana halisi ya kuwa Mpinzani wa kisiasa hasa kwa nchi za kiafrika,
Nilitegemea Vyama vya upinzani kuikosoa Serikali na Kuishauri njia mbadala haya yote iwe kwa maslahi ya taifa letu, badala yake wao ni kupinga na kukatisha tamaa hata yale ambayo ni msaada wa wazi kwa wananchi wao,

Nilitegemea Serikali iliyoko madarakani kuchukua ushauri wa msingi kutoka kwa wapinzani wao kisiasa badala yake ni Kuwaminya wasisikike, kuwakosakosa na wengine kupotezwa kabisa.

Halafu wote wanajinasibu kujenga taifa moja na kuleta mshikamano.
 
Kama ndivyo basi Chadema hamuaminiki kuchukua dola. Geugeu/ndumilakuwili
 
Hali ya kisiasa ipi kilaza? Mbona unaogopa kuelezea? Eleza mtu akuelewe!
Ingekuwa raia wa Tanzania ningekuelezea Hali ilivyo kwani ingekuhusu! Mbona unahangaika Sana na hii Hali iliyopo? Inakunufaisha siyo? Maridhiano yapo na yatakuwepo ili Kama utakosa kazi Basi, Rudi kwenu Rwanda! Yaani unaitamani zitokee vurugu ili uibe Mali zetu siyo?
 
Tuendelee kueleweshana. Hata katika vita hutokea mazingira ya kukubaliana kusimamisha mapigano. Tumeshasikia mara kadhaa siku hutengwa kusiwe na mapigano kupisha kwa mfano sherehe ipite au raia wakimbia mapigano waende mahali salama.
Alichofanya Mbowe kina faida maradufu kulilo hasara zinazohesabiwa na wachangiaji humu.
Isitoshe sote hatujui mkuu atakubali au la. Na hata asipojibu hamuoni kama CDM itakuwa imepata mahali pa kuendelezea?
Akijibu kwa kukataa hoja si bado CDM itakuwa na plan B.
Hivi watu waseme Mbowe pale ilitakiwa aseme nini hasa ambacho hakusema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalazimishwa na wastaafu alete mshikamano wa kitaifa lasivyo wenye chama wampoke tiketi ya kugombea 2020.

So tegemeeni ushirikiano wa kutosha kati yake na wapinzani kuelekea uchaguzi 2020 na baada ya uchaguzi.
JPM si mtu wa kutoa nafasi ya maridhiano hasa na mijitu mijinga mijinga, wangekua watu ambao wapo kimkakati labda lakini hawa wanaoshangilia nchi ikipata hasara, walioamua kumzushia kifo silioni hilo likitokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa maridhiano wanaenda kuongea kuhusu nini? Mbona hulisemi?
 
Mbowe amenusa harufu ya chama chao kukosa jimbo hata moja mwakani ndio maana akaona bora aombe poo mapema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…