Chawa wa watekaji huyu."Sijawahi kuwa....." ni utetezi wa kipoyoyo sana UmkhontoweSizwe big Chawa..
Unadhani nimekutambuaje kuwa wewe ni "Big Chawa wa CCM a.k.a Mama Samia?"
Kwa uandishi wako. Ni maneno yako. Ni Kwa matendo yako..
Mimi ni mpenzi na shabiki wa CHADEMA ndugu. Nielewe hivyo kuanzia leo. Ukinuna, potelea mbali na shauri lako.!!