Freeman Mbowe: CHADEMA itaboresha maisha ya walimu

Freeman Mbowe: CHADEMA itaboresha maisha ya walimu

Hayo ndiyo ya kuongea upinzani. maisha ya kila mwananchi kuimarishwa.

Siyo kutupigia kelele za kubaguzi za kijinga.

Naona Mbowe anaanza kutia akili baada ya Wambura kutowa onyo.


Sasa aje na sera, atafikiaje huko, siyo porojo bila ufumbuzi.

Ameona bajaeti sasa imeelekezwa kunyanyuwa viwango vya maisha ndiyo anataka kuzibaka sera za CCM.


Nyumba za walimu na mabweni ya wanafunzi tayari zipo kwenye bajeti, aisome bajeti asilete longolongo.
Wewe huku hakukuhusu, endelea kuwapigia promo, DPW
 
Kawaulize Walimu mipesa wanayokula sasa. Na wameahidiwa kila mwaka kuongezwa.

Unajuwa Mwalimu wa Tanzania anafundisha kwa kompyuta? Mwenyewe mama aliyewapa anaviita "vishikwambi".
Wewe una mbwembwe kama mpiga vigelegele harusini.

Hivyo vishikwambi makombo ya Sensa ya mwaka 2022 ndiyo unajihanikiza hadharani utadhani mwezi umeshuka ardhini.

Muwe mnaona aibu wakati mwingine
 
Umeona FaizaFoxy anavyosema kuwa waalimu wanalipwa mapesa na wamepewa vishikwambi wanavitumia kufundishia?

Yaani waalimu wateswe na CCM Lakini shaka unaitilia CHADEMA. Huoni kama huo ni uonevu??
Africa ni bara lenye kila uchafu wa wa watu, mtu mweusi amelaniwa mbele za Mungu ndio mana unayaona haya, usimlaumu faiza foxy ilaumu nature ya black color
 
Back
Top Bottom