Freeman Mbowe awatakia Waislam wote Idd Mbaraka

Freeman Mbowe awatakia Waislam wote Idd Mbaraka

Sijazungumzia utukufu. Nazungumzua mahusiano ya yeye kujiita jina la kiislam na si la kibantu na dini ya kiislam.

Je ni kutaka tu kuitumia dini ya kiislam kisiasa??
Walau hata tungemuona basi akipita kipindi cha ramadhan kwenye vituo vya watoto yatima au jana ili atoe misaada ya kujikimu ikiwemo sabuni na mafuta.
Cha ajabu hata angesaidia yatima bado mngesema anawatumia kisiasa.

Ulimwengu huu fanya mambo yako walimwengu hawaishiwi maneno.
 
Hakuna mwenye habari Naye watu wapo bize kufuatilia taarifa za Rais wao mh mama Samia suluhu Hassani ,ambaye anachukuliwa Kama mtetezi na sauti ya Afrika na waafrika na mwenye ushawishi zaidi Barani Afrika kwa Sasa,Ambaye ndiye kiongozi mwenye nguvu Sana kwa Sasa na ambaye Dunia nzima inamfuatilia kwa ukaribu Sana hotuba zake kutokana na kuwa na maono makubwa ya kiuongozi,yaliyoleta mapinduzi ya kifikra katika jamiii
usituharibie siku
 
Tumezipokea mheshimiwa Mbowe,Asante sana,

Mimi sio shabiki wa issue za kisiasa ila Mbowe ni mtu mmoja mstaarabu na ni mvumilivu sana,huo ni mtazamo wangu sitaki povu.
Hujakosea kabisa nami naungana nawe.

Mwamba huwa anatupiwa matusi, vitisho, kesi na manyanyaso ya kila aina ila bado hatoki kwenye mstari! Kwa jinsi alivyoweza kukabiliana na kuvuka suluba za awamu ya tano na zile za mwanzoni mwa awamu hii hakika jamaa ni shujaa.

Bahati mbaya nchi hii mashujaa/wazalendo ni yale madhalimu yanayofuja nchi na wapambanaji dhidi ya udhalimu ndio maadui!

Elimu Elimu Elimu.
 
Lema na Lisu ni Wabunge wa CCM?
ccm imejaa mashoga ndio maana mlishindwa uchaguz mkaamua kupora uchaguz kwa kutumia polis kupora kura za wanaume kina lissu na lema kama mnajiweza mngejaribu kuja wenyewe bila msaada wa polis fake muone moto wake.
 
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , ametuma salamu za Idd kwa Waislam wote Nchini Tanzania , amewataka Waislam wote kusherehekea siku hii kwa amani na utulivu .

Mbowe ambaye pia anajulikana kama Ustaadh Aboubakar amewapongeza waislam wote kwa kumaliza salama mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan
Ungeandika "IDDI" na ukamalizia MBARAKA nisingeshangaa....

Ila ni "IDD MUBARRAK"....

Amani i juu yako TUSEKELEGE.....
 
Back
Top Bottom