Freeman Mbowe awatakia Waislam wote Idd Mbaraka

Freeman Mbowe awatakia Waislam wote Idd Mbaraka

Mwamba gani ameshindwa hata kukarabati ofisi? Ofisi utafikiri pagala linalokaliwa na mifugo? Yeye anachojuwa ni kukidai tu chama chake kila uchaguzi ukiisha
Mkuu jikite kwenye mada , huwezi kumchukia Mbowe ukafanikiwa , wengi waliojaribu kumchukia wamekufa
 
Majina si utukufu , ni alama tu , ndio maana Mazinge , Mtopea na Mwalubadu ni waislam
Sijazungumzia utukufu. Nazungumzua mahusiano ya yeye kujiita jina la kiislam na si la kibantu na dini ya kiislam.

Je ni kutaka tu kuitumia dini ya kiislam kisiasa??
Walau hata tungemuona basi akipita kipindi cha ramadhan kwenye vituo vya watoto yatima au jana ili atoe misaada ya kujikimu ikiwemo sabuni na mafuta.
 
Sijazungumzia utukufu. Nazungumzua mahusiano ya yeye kujiita jina la kiislam na si la kibantu na dini ya kiislam.

Je ni kutaka tu kuitumia dini ya kiislam kisiasa??
Walau hata tungemuona basi akipita kipindi cha ramadhan kwenye vituo vya watoto yatima au jana ili atoe misaada ya kujikimu ikiwemo sabuni na mafuta.
Hili jina alipewa Pemba kama heshima kwa ajili ya kupigania Uhuru wenu nyinyi wanyonge , ni jina la Swahaba wa Mtume
 
Hakuna mwenye habari Naye watu wapo bize kufuatilia taarifa za Rais wao mh mama Samia suluhu Hassani ,ambaye anachukuliwa Kama mtetezi na sauti ya Afrika na waafrika na mwenye ushawishi zaidi Barani Afrika kwa Sasa,Ambaye ndiye kiongozi mwenye nguvu Sana kwa Sasa na ambaye Dunia nzima inamfuatilia kwa ukaribu Sana hotuba zake kutokana na kuwa na maono makubwa ya kiuongozi,yaliyoleta mapinduzi ya kifikra katika jamiii
Nadhani hilo jina lako mwashambwa, kwa lugha ya kwenu inamaanisha mshamba. Na hakika unaliishi jina lako kikamilifu.
 
Hakuna mwenye habari Naye watu wapo bize kufuatilia taarifa za Rais wao mh mama Samia suluhu Hassani ,ambaye anachukuliwa Kama mtetezi na sauti ya Afrika na waafrika na mwenye ushawishi zaidi Barani Afrika kwa Sasa,Ambaye ndiye kiongozi mwenye nguvu Sana kwa Sasa na ambaye Dunia nzima inamfuatilia kwa ukaribu Sana hotuba zake kutokana na kuwa na maono makubwa ya kiuongozi,yaliyoleta mapinduzi ya kifikra katika jamiii
Dah!
We bwana hebu jitafakari, hauko sawa.
Kuna shida mahali
 
Mnamuitaga abubakary? Eid ameswalia msikiti gani? Au huwa anachezea dini za watu kwa maslahi ya kisiasa tu erytthr..?
Waislamu wote wameswali leo? Na wao wanachezea dini za watu kwa maslahi ya kisiasa? Kila anayeitwa abubakary lazima awe muislam? Niambie chochote kuhusu judge August Ramadhan
 
Hakuna mwenye habari Naye watu wapo bize kufuatilia taarifa za Rais wao mh mama Samia suluhu Hassani ,ambaye anachukuliwa Kama mtetezi na sauti ya Afrika na waafrika na mwenye ushawishi zaidi Barani Afrika kwa Sasa,Ambaye ndiye kiongozi mwenye nguvu Sana kwa Sasa na ambaye Dunia nzima inamfuatilia kwa ukaribu Sana hotuba zake kutokana na kuwa na maono makubwa ya kiuongozi,yaliyoleta mapinduzi ya kifikra katika jamiii
Rais fisadi lenye wabunge mashoga bungeni nani alifatilie.
 
Mnamuitaga abubakary? Eid ameswalia msikiti gani? Au huwa anachezea dini za watu kwa maslahi ya kisiasa tu erytthr..?
anzisha chama cha hio dini yako uone kama utapata hata kura 500 huku kanda ya ziwa.
 
Mwamba gani ameshindwa hata kukarabati ofisi? Ofisi utafikiri pagala linalokaliwa na mifugo? Yeye anachojuwa ni kukidai tu chama chake kila uchaguzi ukiisha
mwamba alimkomesha dikiteta hadi akaiba uchaguz na bado kwa stress za wiz akafa, unaongelea ofisi ccm mnaofis wapi majengo ya serikali mliyoyapaka rangi ya kijani ndio mnajifariji ni ofis za ccm siku chadema ikiingia madarakani mtakula kesi za uhujumu uchumi mpaka mtie adabu.
 
Kwa misosi Dj anajali sana. Report ya CAG hajatia neno, kamwachia Mbunge makini Halima Mdee
kwamba mnataka mashoga ya ccm mtetewe na mbowe si mlisema chadema inachelewesha maendeleo mbona mnajambajamba mmeshindwa hata kujadiri hio report wakati mko wenyewe mashoga ya ccm humo bungeni.
 
kwamba mnataka mashoga ya ccm mtetewe na mbowe si mlisema chadema inachelewesha maendeleo mbona mnajambajamba mmeshindwa hata kujadiri hio report wakati mko wenyewe mashoga ya ccm humo bungeni.
Lema na Lisu ni Wabunge wa CCM?
 
Back
Top Bottom