palalisote JF-Expert Member Joined Aug 4, 2010 Posts 8,335 Reaction score 1,463 Apr 23, 2015 #21 afdhali picha zimeletwa mapema maana wale wa rangi ya maruni hawakawii kusema chadema hawajafanya mkutano kisa watu hawakuwepo.
afdhali picha zimeletwa mapema maana wale wa rangi ya maruni hawakawii kusema chadema hawajafanya mkutano kisa watu hawakuwepo.
Standalone JF-Expert Member Joined Nov 15, 2014 Posts 676 Reaction score 576 Apr 23, 2015 #22 Umati kwenye eneo la mkutano.. .baaaado watu wana miminika kila kona mkutano utaanza saa 10 kamili Attachments 1429792355569.jpg 103.9 KB · Views: 1,205
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 18,925 Reaction score 13,279 Apr 23, 2015 #23 LOMAYANN said: Hizo picha zinawatisha Mbaya magamba na mawakala wao. Hii nchi imeiva Kwa ukombozi Ahsante CHADEMA na UKAWA Kwa kuonyesha moyo wa that kutuondolea ccm Click to expand... Zimefanyaje? mpaka zitishe watu? Kwani kuna nini kipya hapo?
LOMAYANN said: Hizo picha zinawatisha Mbaya magamba na mawakala wao. Hii nchi imeiva Kwa ukombozi Ahsante CHADEMA na UKAWA Kwa kuonyesha moyo wa that kutuondolea ccm Click to expand... Zimefanyaje? mpaka zitishe watu? Kwani kuna nini kipya hapo?
palalisote JF-Expert Member Joined Aug 4, 2010 Posts 8,335 Reaction score 1,463 Apr 23, 2015 #24 acha utoto huo picha kwenye post moja inatosha
Emma. JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 19,932 Reaction score 5,566 Apr 23, 2015 #25 MUSSA ALLAN said: Mkuu angalia utawaua kwa presha hawa vibaraka wa Mbowe! Click to expand... Ccm ndo mtakufa kwa presha mwaka huu
MUSSA ALLAN said: Mkuu angalia utawaua kwa presha hawa vibaraka wa Mbowe! Click to expand... Ccm ndo mtakufa kwa presha mwaka huu
DCONSCIOUS JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 1,269 Reaction score 473 Apr 23, 2015 #26 Zitto aitikisa simiyu mbowe aingia mitini. Haahaahaa Attachments SAM_1377.jpeg 202.5 KB · Views: 363
Emma. JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 19,932 Reaction score 5,566 Apr 23, 2015 #27 MUSSA ALLAN said: Mkuu angalia utawaua kwa presha hawa vibaraka wa Mbowe! Click to expand... Chadema ni sawa na moto wa gesi. Attachments 1429792713260.jpg 20.1 KB · Views: 350 1429792729381.jpg 82.8 KB · Views: 332
MUSSA ALLAN said: Mkuu angalia utawaua kwa presha hawa vibaraka wa Mbowe! Click to expand... Chadema ni sawa na moto wa gesi.
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 18,925 Reaction score 13,279 Apr 23, 2015 #28 Apologise lady Ungeanza kwa kumuuliza huyo mwenzio anayeitaja CCM, imehusikaje hapo? Zitto lazima ahusike maana yeye ndio chanzo cha kumfanya Mbowe aende SIMIYU! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Apologise lady Ungeanza kwa kumuuliza huyo mwenzio anayeitaja CCM, imehusikaje hapo? Zitto lazima ahusike maana yeye ndio chanzo cha kumfanya Mbowe aende SIMIYU!
Ndyali JF-Expert Member Joined Nov 24, 2011 Posts 1,678 Reaction score 971 Apr 23, 2015 #29 MUSSA ALLAN said: Ungeanza kwa kumuuliza huyo mwenzio anayeitaja CCM, imehusikaje hapo? Zitto lazima ahusike maana yeye ndio chanzo cha kumfanya Mbowe aende SIMIYU! Click to expand...
MUSSA ALLAN said: Ungeanza kwa kumuuliza huyo mwenzio anayeitaja CCM, imehusikaje hapo? Zitto lazima ahusike maana yeye ndio chanzo cha kumfanya Mbowe aende SIMIYU! Click to expand...
victor shio JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 651 Reaction score 109 Apr 23, 2015 #30 Mwaka huu lazima watage yai la mbuni
mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Apr 23, 2015 #31 Emma. said: Kamanda Mbowe endelea kusambaza upendo njia nyeupe kwa Ukawa kuingia ikulu. Click to expand... Asiyetaka ahame nchi .
Emma. said: Kamanda Mbowe endelea kusambaza upendo njia nyeupe kwa Ukawa kuingia ikulu. Click to expand... Asiyetaka ahame nchi .
msumeno JF-Expert Member Joined Aug 3, 2009 Posts 2,826 Reaction score 1,738 Apr 23, 2015 #32 Kiboko yenu ni Kinana
Freeland JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 14,481 Reaction score 10,233 Apr 23, 2015 #33 Yaani hapa inaonekana ni kijijini kabisaaaaaa
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,477 Reaction score 45,050 Apr 23, 2015 #34 Molemo, usituletee picha zaidi maana hapo Lumumba hali itazidi kuwa tete!!
mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Apr 23, 2015 #35 MUSSA ALLAN said: Hujui hata jina la bwana wako! Click to expand... Ndio vijana mliobakia ccm huwezi kuisimulia mvua ambayo haijakunyeshea watunzwa weye:what:
MUSSA ALLAN said: Hujui hata jina la bwana wako! Click to expand... Ndio vijana mliobakia ccm huwezi kuisimulia mvua ambayo haijakunyeshea watunzwa weye:what:
T The Elephant JF-Expert Member Joined Dec 18, 2014 Posts 4,356 Reaction score 4,654 Apr 23, 2015 #36 The Hyper said: Mungu ibariki CHADEMA, Ibariki CUF, Ibariki NCCR-MAGEUZI, Ibariki NLD na viongozi wote wa UKAWA. Aamen!! Click to expand... Amina!
The Hyper said: Mungu ibariki CHADEMA, Ibariki CUF, Ibariki NCCR-MAGEUZI, Ibariki NLD na viongozi wote wa UKAWA. Aamen!! Click to expand... Amina!
Ziroseventytwo Platinum Member Joined Mar 27, 2011 Posts 9,163 Reaction score 17,067 Apr 23, 2015 #37 Go go gooooo camander Mbowe gooooo!
Chademakwanza JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 6,346 Reaction score 1,872 Apr 23, 2015 #38 MUSSA ALLAN said: Ungeanza kwa kumuuliza huyo mwenzio anayeitaja CCM, imehusikaje hapo? Zitto lazima ahusike maana yeye ndio chanzo cha kumfanya Mbowe aende SIMIYU! Click to expand... Naona unaweweseka na baado ndio tumewasha moto
MUSSA ALLAN said: Ungeanza kwa kumuuliza huyo mwenzio anayeitaja CCM, imehusikaje hapo? Zitto lazima ahusike maana yeye ndio chanzo cha kumfanya Mbowe aende SIMIYU! Click to expand... Naona unaweweseka na baado ndio tumewasha moto
ommy255 JF-Expert Member Joined Sep 18, 2013 Posts 1,041 Reaction score 226 Apr 23, 2015 #39 FaizaFoxy said: Naona kila anapopita Zitto, chadema wanakwenda kuziba mashimo. Muha kawashika pazuri wachagga. Click to expand... Itakuwa ni jamaa yako nn sisi hatuna habar na msalit, mikutano ilianza zaman ya kujenga chama kabla ya huyo bwana ako kaz ya Mungu inaendelea majibu sahihi utayapata kwenye sanduku la kura.
FaizaFoxy said: Naona kila anapopita Zitto, chadema wanakwenda kuziba mashimo. Muha kawashika pazuri wachagga. Click to expand... Itakuwa ni jamaa yako nn sisi hatuna habar na msalit, mikutano ilianza zaman ya kujenga chama kabla ya huyo bwana ako kaz ya Mungu inaendelea majibu sahihi utayapata kwenye sanduku la kura.
mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Apr 23, 2015 #40 msumeno said: Kiboko yenu ni Kinana Click to expand... Ya twajua ni kiboko ya Tembo hilo halina shaka una jingine usaidiwe.
msumeno said: Kiboko yenu ni Kinana Click to expand... Ya twajua ni kiboko ya Tembo hilo halina shaka una jingine usaidiwe.