Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,889
- 8,486
Mbowe licha ya kupata ziro form six, kuuwa chama kutoka wabunge 100 hadi 1, kushindwa kujenga ofisi ya chama lakini bado kuna kikundi kikiongozwa na Erythrocyte kina amini Mbowe ni bonge la kiongozi na ataivusha nchi kiuchumi wakati hata uchumi wa kujenga ofisi nzuri ya CHADEMA ameshindwa kwa miaka 30 aliyoongoza chama.!