jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Heshimuni mamlaka nyie watu!
Kasome ibara ya 9 ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tz utajua serikali inapata mamlaka toka kwa nani! wenye mamlaka ndio walikuwa wanaongea na mbowe kwa mujibu wa ibara husika, na mbowe aliwauliza wananchi, nishukeee? wananchi walilipuka kwa sauti ya ghadhabu tena kwa pamoja, USISHUKEEEE! Kamanda wa anga akaendelea kutoa somo la uraia. nilikuwepo