Utawala wa kifalme wa Mbowe unazidi kuitafuna Chadema.
Mikutano ya Act inaendeleaje? Mbona haisikiki? Au mmepoteana mara hii?
Utawala wa kifalme wa Mbowe unazidi kuitafuna Chadema.
Sio dada ni mwanzilishi wa CCJ na kibaraka mkuu wa Sita.Tuheshimiane dada
Inakuhusu nini mlamba viatu wewe.Kabaila mbowe
Wewe mwalimu kashike chaki - siasa huziwezi.
kweli mkuu, hawa ndiyo wanafanya tasnia ya ufundishaji (ualimu) ionekane bogasi.Huyu tukifuatilia vyeti vyake kwenye baraza usishangae kukuta hata huo ualimu kajipachika tu. Uelewa ni mdogo mno.
Tuheshimiane dada
Bahati Nzuri kuna mmoja alishatuangulia hakini. Kwahiyo mimi hilo halinisumbui, Jibu swali langu sasa.
Siku Mbowe akifa na CHADEMA itakufa?
Sasa Chadema wanajitafuna wewe si ndio muda wa kuimarisha ACT yako.!?Utawala wa kifalme wa Mbowe unazidi kuitafuna Chadema.
pamoja na kwamba nakubaliana na wewe kwamba huo ni mtindo wa kiccm na kuwa sio vizuri kuiga mambo ya hovyo, napingana na wewe kwani mazingira ni tofauti sana.Kwanza ni kweli Mbowe ni jembe.Sjui hii inamaana gani,yaani tukio lenyewe linamaana gani?..tabia hio wanayo ccm kwann tena chadema? Mie sjaipenda na kama mtakubaliana namm chukueni note juu ya hili,then utaja kujua madhara yake hata kama sio leo!..yeye hajaamua hadi anaombwa?...no ningekuwepo ningetofautiana kidogo na walioibariki hatua hii.Yeye angechukuwa form yeye kama yeye,kama alivyokuwa akichukua sku za nyuma..unless tell me kuwa tunataka kuiga mambo ya ccm
Mwingine aliyebaki naye si atatangulia hakini pia au?