Freeman Mbowe aiyumbisha dola

Freeman Mbowe aiyumbisha dola

Tai hutua kwa mzoga, ukiona polisi hawashughuliki hakuna kitu, ni chuki zako tuu
 
Mbowe yeye nani!Hijaona ameanza kujipendekeza atatulia tu
 
Hivi hili jarida halina habari nyingine za kuandika? na hiyo habari ya Mh Mbowe ni jarida hili tu ndio linaijua? maana limekomaa na Mh Mbowe, liangalia maana hii issue kama ni ya kweli ikiisha hilo jarida litakosa cha kuandika
 
Mtu akisoma nje huwa anaruhusiwa kufungua acc na wao wafungwe
 
Mbowe yeye nani!Hijaona ameanza kujipendekeza atatulia tu

Ningeshangaa kama uzi huu ungekupita bila kutia neno. Kiukweli bila kuficha MOTOCHINI unamchukia Mbowe kuliko kitu kingine chochote. Hii ni wazi kabisa kutokana na maandiko yako mengi.
Kuna tatizo gani? Weka mambo hadharani tukusaidie kukutoa huko kwenye gereza la chuki. Nina uhakika kwa chuki hizo wewe ndie unaumia zaidi maana huyo Mbowe sidhani kama anaumia kwa ajili yako! Jiweke huru ndugu yangu kwa kujenga marafiki zaidi na kupunguza maadui. Hata kama unapingana na kama mimi ninavyopingana na Zitto, lakini hamna sababu ya kuchukiana.
Nikupe mfano kidogo, mie Zitto asilimia kubwa ya anayoyafanya sikubaliani naye lakini simchukii hata kidogo. Mwaka jana alikuwa hapa Mwanza na tukakutana Mwanza Hotel na kukaa meza moja pamoja na wengine, na kucheza muziki wa Bakulutu pamoja huku tukizungumza mawili matatu. Na nilijisikia vizuri tuu.
Tusichukiane.
 
Last edited by a moderator:
Mwandishi njaa zinakuua - omba uwe mwana-ukoo wa kina Mbowe!!
 
Kwani hiyo Kampuni inayodaiwa kuwa ni Mbowe imefunguliwa wapi?? Labda tuanzie hapo??
 
Kwani hiyo Kampuni inayodaiwa kuwa ni Mbowe imefunguliwa wapi?? Labda tuanzie hapo??

Iwapo hiyo Kampuni ya Mbowe imefunguliwa Uarabuni, na si kampuni ya kitanzania basi hakuna kosa hapo.
Mtanzania akifungua kampuni Uingereza na kusaijili kwa sheria za Uingereza. Hiyo kampuni itakuwa "raia" wa Uingereza hata kama mmiliki au wamiliki wake wote ni watanzania.
Taratibu za kampuni ni kwamba kampuni na mwenye kampuni ni vitu viwili tofauti. Mali ya Kampuni kamwe haiwezi kuwa na uhusiano na mwenye kampuni kama kampuni hiyo yamilikiwa na mtu mmoja. Kwa hiyo iwapo pesa hizo za Kampuni inayodaiwa kuwa ni ya Mbowe haziwezi kuwa za Mbowe. Na iwapo kampuni hiyo imesajiliwa kama raia wa Uarabuni basi hakuna kosa hapo. Lakini kama kampuni hiyo ni raia wa Tz basi si Mbowe anayepaswa kuwajibishwa ni Kampunj.
 
umekaa kimama kazi majungu tu p[iga kazi hii speed itakuondoa kwenye truck..vp mkeo yupo?mbona humulizagi
 
Ningeshangaa kama uzi huu ungekupita bila kutia neno. Kiukweli bila kuficha MOTOCHINI unamchukia Mbowe kuliko kitu kingine chochote. Hii ni wazi kabisa kutokana na maandiko yako mengi.Kuna tatizo gani? Weka mambo hadharani tukusaidie kukutoa huko kwenye gereza la chuki. Nina uhakika kwa chuki hizo wewe ndie unaumia zaidi maana huyo Mbowe sidhani kama anaumia kwa ajili yako! Jiweke huru ndugu yangu kwa kujenga marafiki zaidi na kupunguza maadui. Hata kama unapingana na kama mimi ninavyopingana na Zitto, lakini hamna sababu ya kuchukiana.Nikupe mfano kidogo, mie Zitto asilimia kubwa ya anayoyafanya sikubaliani naye lakini simchukii hata kidogo. Mwaka jana alikuwa hapa Mwanza na tukakutana Mwanza Hotel na kukaa meza moja pamoja na wengine, na kucheza muziki wa Bakulutu pamoja huku tukizungumza mawili matatu. Na nilijisikia vizuri tuu.Tusichukiane.
haha Chakaza siwezi kuumia kisa mpuzi kama Mbowe neverMtu hachagui idadi ya maadui kamweulipo adui yupo hata uwe wapiNamuogopa mungu pekee Na si Zezeta kama Mbowe au Misukule take NkamweZtt ni binadam nakamwe hawwzikuwa nalaika au Mungu MTU kama Mbowe kamwe,kukosolewa kwake kawaida sikama Babuyako huyo akikosolewa NitatizoMimi sio Kila akifanyacho Zitto namuunga mkono noAtakapo kwenda sivyo siungani naekuna wakati Ztt amepost kuwa Tz tupeleke majeshi yetu somalia kushirikiana Na KenyaMimi nilimpinga sana sana ajabu Leo Hi nyie kwa ushabiki Wa kijinga Mmemfanya Mbowe awe Mungumtu, hakuna jambo amefanya mkanyanyua mdoma hata kumchambua Chakaza humu mnaishi kwa kutafuta Sifa,kushangiliwa,Like, fashion nk,kwamba ukionekana una shabikia CDM utapata marafiki JF,uta onekana unajitambua kumbe ni wendawazimu TU.ukipenda
 
Last edited by a moderator:
Mbona wale wanaosafirisha meno ya tembo hamuandiki au hao wana kibali?

Ndio maana tunashauriwa kukemea maovu bila kujali vyama.
Kama CCM amefanya makosa akosolowe na kama Chadema alikadharika.
 
haha Chakaza siwezi kuumia kisa mpuzi kama Mbowe neverMtu hachagui idadi ya maadui kamweulipo adui yupo hata uwe wapiNamuogopa mungu pekee Na si Zezeta kama Mbowe au Misukule take NkamweZtt ni binadam nakamwe hawwzikuwa nalaika au Mungu MTU kama Mbowe kamwe,kukosolewa kwake kawaida sikama Babuyako huyo akikosolewa NitatizoMimi sio Kila akifanyacho Zitto namuunga mkono noAtakapo kwenda sivyo siungani naekuna wakati Ztt amepost kuwa Tz tupeleke majeshi yetu somalia kushirikiana Na KenyaMimi nilimpinga sana sana ajabu Leo Hi nyie kwa ushabiki Wa kijinga Mmemfanya Mbowe awe Mungumtu, hakuna jambo amefanya mkanyanyua mdoma hata kumchambua Chakaza humu mnaishi kwa kutafuta Sifa,kushangiliwa,Like, fashion nk,kwamba ukionekana una shabikia CDM utapata marafiki JF,uta onekana unajitambua kumbe ni wendawazimu TU.ukipenda
Ndugu yangu MOTOCHINI hebu soma tena post yako. Huu uandikaji kwa vyovyote vile hukuandika ukiwa kawaida lazima ulikuwa umeweka vitu kumkichwa. Ha ha ha lazima hapa ulikuwa umeweka kawiski kidogo, au ni Amalula ikalegeza vidole? Ona sie tushapiga Kanyagi lakini vidole viko biyeee.
 
Last edited by a moderator:
Vipi kuhusu kibali chakusafilisha Twiga kwenye ndege na meno ya Tembo mlipewa?
 
Back
Top Bottom