johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Mbowe amehojiwa na BBC na kusema aliposhtakiwa kwa ugaidi alidhani ni utani lakini hakushangaa kutokana na upinzani unavyonyanyaswa nchini Tanzania.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Mahojiano yanaendelea.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Mahojiano yanaendelea.