johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,804
Najua Kikeke umo humu JF!
Nimefuatilia mahojiano yako na Waziri Makamba, Waziri Nape na Mwenyekiti wa ACT wazalendo mzee Duni kwa nyakati tofauti. Nikiwa mdau wa BBC Dira ya Dunia nitafarijika kama utafanya mahojiano na kiongozi mkuu wa Upinzani nchini Mh. Freeman Mbowe.
Naomba kuwasilisha!
Nimefuatilia mahojiano yako na Waziri Makamba, Waziri Nape na Mwenyekiti wa ACT wazalendo mzee Duni kwa nyakati tofauti. Nikiwa mdau wa BBC Dira ya Dunia nitafarijika kama utafanya mahojiano na kiongozi mkuu wa Upinzani nchini Mh. Freeman Mbowe.
Naomba kuwasilisha!