Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!
Hapo kwenye Red nimefurahia sana, labda ungesema mwingine. Mbowe kwa biashara zake halali ana uwezo wa kwenda ulaya kila mwezi akitaka. Pesa za Chadema haziwezi kumsumbua Mbowe kwa kadri ninavyomjua. Hivi kwa Siku Mbowe kwenye bishara zake anaingiza sh ngapi mkuu mpaka aende US kwa ajili ya Posho? Hii hapana mkuu, umepotosha makusudi.