Freeman Mbowe - Afanya maajabu Houston TX

Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!

Hapo kwenye Red nimefurahia sana, labda ungesema mwingine. Mbowe kwa biashara zake halali ana uwezo wa kwenda ulaya kila mwezi akitaka. Pesa za Chadema haziwezi kumsumbua Mbowe kwa kadri ninavyomjua. Hivi kwa Siku Mbowe kwenye bishara zake anaingiza sh ngapi mkuu mpaka aende US kwa ajili ya Posho? Hii hapana mkuu, umepotosha makusudi.

 
Marriot Hotel Houston - Ulipofanyika mkutano wa CHADEMA
Wadau wa Houston - John na Mbowe
Mdau Abdulkarim na Katibu wa CDM Houston Nd.Mlay

Wadau wa Houston

Mdau wa Atlanta, Dada Linda ndani ya nyumba

Wadau wa Houston na Atlanta

Msafara wa Mh.Mbowe ukiingia Marriot

Msafara wa Mh.Mbowe ukiingia Marriot

Sehemu ya Wadau wa Houston wakisikiliza sera za Vua Gamba Vaa Gwanda

Wadau Sekulu na Himid

Dada Linda na Dada Asha wakionesha ubunifu wa mavazi yenye rangi ya bendera ya CDM

Mdau Ngalawa akiwa na Mh.Mbowe

Mh.Mbowe na wadau wa Houston

Mh.Mbowe na wadau wa Houston na Atlanta

Mh.Mbowe na mkereketwa wa CCM-Houston Nd.Ndejembi

Mh.Mbowe na wazee wa M4C kutoka DMV
Kwa picha zaidi bofya read more

Mh.Sugu akiwa na Nd.Ngalawa

Mh.Mbowe akimwaga sera za CHADEMA kwa wadau wa Houston

Sehemu ya umati wa wadau
Mwenyekiti wa TZ-Houston Community, Nd.Novatus Simba
Wadau Houston wakivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Wadau Houston wakivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Wadau Houston wakivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Mdau Lenny wa Houston akivua Gamba na Kuvaa Gwanda

Mdau Kasapira aka Yes We Can wa Houston akivua Gamba na Kuvaa Gwanda
Future M4C wa Houston

Wadau

Mdau Sekulu akimuuliza swali Mh.Mbowe
Andrew Sanga akiwa na kadi ya CDM
Mdau Jerome akipokea kadi ya CDM kutoka kwa Mh.Mbowe

Mwenyekiti wa CDM Taifa akisaini kadi za wanachama wapya

Mwenyekiti wa Muda wa CDM-Houston, Bw,Fue O. Fue akiwa na Mh.Mbowe, Dada Maggie na Mdau

Mh.Sugu akiwa na Nd.George Kasapira

Mh.Mbowe akiwa na Nd.Martin Mhumbira

Mh.Mbowe akiwa na Nd.Andrew Sanga
 
nani kakuambia Hai kunashida ya kila namna,nenda kaangalie jimbo la huyo mwigulu nchemba ndo kuna neema?mwache kamanda apige kazi ya ukombozi wana Hai tunatambua mchango wake awepo Hai au atakapo kuwa nje ya Hai.Mbowe komboa taifa kata anga kupigania ukombozi,mwenyekiti shupavu asiye yumbishwa na magamba
 
Wengi wajiunga Chadema, Mkusanyiko ulikuwa ni mkubwa sana kwa historia ya mwana siasa yeyote aliyewahi kutokea Houston TX . Mbowe awabadili Wana CCM na kuwa Chadema. Mbowe afanya Houston kuwa base ya CHADEMA na wanachadema watoa Pikipiki 126
mbona wanapokezana tu safari za nje! juzi alikuwa huko yule jamaa wa arusha, leo yupo mbowe..... ! halafu ndio wa kwanza kumlalamikia kikwetw kwa safari za nje!
 
Hivi hawa jamaa wa diaspora huwa wanapiga kura kweli hawa?
Sasa ngoja nikupe fact wana diaspora sio lazima tupige kura ila tunachofanya ni kukisaidia chama tunatoa magari, pikipiki Na hata helcopter yote hii kwa ajili ya kujenga chama kuanzia ngazi ya chini, ccm 2015 hamtoki, lazima chadema ichukue nchi mtake msitake habari ndiyo, wana wa diaspora houston tawi la chadema tutatoa pikipiki 126
 
Weka picha wacha porojo, za Kinana tumeona DC.

Ukute ni afadhali ya Lema pale bar ya Wakenya, London.
USA CCM walimpeleka Diamond kuhamasisha kwanini msingepeleka na komba na lile scania kwaajili ya kuongeza Nguvu? kwi! kwi! kwi! teh!
 
Hivi hawa jamaa wa diaspora huwa wanapiga kura kweli hawa?

Sina uhakika kama wanapiga maana NEC iko ovyo haitaweza kuwafikia watu wote.ila kwa support yao ya mawazo na fedha za kujenga chama ni muhimu sana
 
attachment.php
 
watu wengine bwana jimboni kwake hai kuna shida ya kila namna lakini yeye kiguu na njia kutafuta sifa kwa walowezi ambao hata kura huwa hawapigi

Unaweza kuzitaja hizo shida za kila namna ambazo zipo kwenye jimbo la Hai..?
 
Mh mbowe amefanya kile kilichowashinda wanasisa wengi wa tanzania walio waliowahi kutembelea houston, ktk mkutano uliofanyika mariot hotel watanzania zaidi ya 100 waliweza kuchua Card za chadema, kabla ya mh mbowe mh Sugu alitoa hotuba fupi akiwaomba wananchi waunganishe nguvu kuutoa utawala mbovu wa ccm, Sugu alienda mbali akisema ccm wanawaogopa wana diaspora, chadema wanawahitaji sana Hawa watu, watasaidia sana kujenga uchumi wa nchi yetu

weka picha uumbuke.hakuna kitu kama hicho,watu walikuwa 20 tu.punguza maneno.unamdanganya nani???
 
Weka picha wacha porojo, za Kinana tumeona DC.

Ukute ni afadhali ya Lema pale bar ya Wakenya, London.
Mzee kinana nae anfuata chakula? hii ndio tofauti ya CDM na NyinyiEM shame on you,
mnawaza kula tu< hivi bila kuandaa chakula kwenye shughuli zenu watu hawaji?

CCM+DMV+219.JPG

chama cha ubwabwa


chama makini kwa watu makini M4C forever
 
picha yenye watu wengi kuliko zote ina watu 23,ndio unasema haijawahi kutokea???

kawadanganye wasiojiuliza ie akina YES BOSS
 
swali zuri sana, maana naona wimbi la kuwakimbilia limekuwa kubwa sana..... lakini pia michango yao ya hali na mali invisaidi hivyo vyama!

Hivi hawa jamaa wa diaspora huwa wanapiga kura kweli hawa?
 
mbona wanapokezana tu safari za nje! juzi alikuwa huko yule jamaa wa arusha, leo yupo mbowe..... ! halafu ndio wa kwanza kumlalamikia kikwetw kwa safari za nje!

safari za Kikwete zina tija gani ktk maendeleo ya nchi? Kazi zinazofanywa na viongozi wa CDM matunda yake yanaonekana
 
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!

Mkuu Kimbunga diasporas wanamichango yao pia. Licha ya michango ya mawazo kutokana na exposure zao, pia wanachangia materials zinazosaidia kujenga chama na katika maendeleo pia. Ukichukulia hizo pikipiki 126, gari la wagonjwa nk si haba ukilinganisha na safari za hawa wakuu. Ila naungana na wewe katika kuzidi kuhamasisha tuliopo nchini tuweze kujitolea zaidi katika kidogo tulichonacho ili kujenga chama na maendeleo yetu kwa ujumla. Natumaini tunaweza kufanya makubwa zaidi kuliko diasporas walioko nchi mbalimbali, ila nao ni vizuri wakashiriki pia.
 

Hapo kwenye Red nimefurahia sana, labda ungesema mwingine. Mbowe kwa biashara zake halali ana uwezo wa kwenda ulaya kila mwezi akitaka. Pesa za Chadema haziwezi kumsumbua Mbowe kwa kadri ninavyomjua. Hivi kwa Siku Mbowe kwenye bishara zake anaingiza sh ngapi mkuu mpaka aende US kwa ajili ya Posho? Hii hapana mkuu, umepotosha makusudi.


Alikuwa anamsema mkweree ambae maisha yake yote ni ya mshahara tu na hajawahi kufanya kazi za kujiajili; shamba lake la kwanza amelipata akiwa waziri na vingine vyote baada ya kuingia magogoni!! Ndio maana katika utawala wake hana concept ya self-reliance kila siku kutembeza bakuli!!
 
Kuna umuhimu wa kuweka utaratibu kwa diaspora kupiga kura huko waliko.... Balozi zetu huko nje zitumike kwa kazi hiyo kipindi cha uchaguzi!!
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom