Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true hustler...

Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true hustler...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,613
Katika watu ambao historia itapaswa iwaandike vizuri kipaji.ujanja na uwezo wa kufika mbali kisiasa Freeman Mbowe anapaswa kuandkwa vizuri sana ukitazama historia yake utaona huyu jamaa ni 'mtoto wa mjini' kikweli kweli na watu wanao jaribu kum underestimate wengi huishia kulia.. huyu ni true hustler.

Kutoka kumiliki Billicanas Club na kufanya tu starehe na kuoana 'opportunities' za kila aina kwenye siasa za TZ na ku risk yote ambayo ame risks si jambo dogo.

Watu hupenda kufatilia historia za Marais au watu wanaofanikiwa kuchaguliwa ila ukitazama siasa za TZ Mbowe siku zote 'anacheza kama pele' Ndo maana ndani ya CHADEMA mbowe ana marafiki nje ya CHADEMA wa kila aina wengine hawawezi kukaa pamoja lakini yeye wote 'washkaji zake' there is something about him ambacho Slaa hana,Tundu Lissu hana, Zitto hana na wengi tu wengine Ukisikia 'mtoto wa mjini' ndo watu kama Mbowe.

Pasco Nyani Ngabu ..
 
Last edited by a moderator:
Labda tusubiri tuone mapokezi yataleta nini. Siwasikii wakubwa wenzake wako wapi?
 
Kuna Tofauti kubwa kati ya Mwanasiasa Mzuri na Kiongozi mahiri.. Utofauti upo.
 
Katika watu ambao historia itapaswa iwaandike vizuri
kipaji.ujanja na uwezo wa kufika mbali kisiasa

Freeman Mbowe anapaswa kuandkwa vizuri sana
ukitazama historia yake utaona huyu jamaa ni 'mtoto wa mjini'
kikweli kweli na watu wanao jaribu kum underestimate wengi huishia kulia..
huyu ni true hustler....kutoka kumiliki Billicanas Club na kufanya tu starehe
na kuoana 'opportunities' za kila aina kwenye siasa za TZ na ku risk yote ambayo ame risks
si jambo dogo....watu hupenda kufatilia historia za Marais au watu wanaofanikiwa kuchaguliwa

ila ukitazama siasa za TZ Mbowe siku zote 'anacheza kama pele'

Ndo maana ndani ya CHADEMA mbowe ana marafiki nje ya CHADEMA wa kila aina
wengine hawawezi kukaa pamoja lakini yeye wote 'washkaji zake'
there is something about him ambacho Slaa hana,Tundu Lissu hana, Zitto hana na wengi tu wengine

Ukisikia 'mtoto wa mjini' ndo watu kama Mbowe....
Pasco Nyani Ngabu ..
Nakupa Mia kwa mia
 
Last edited by a moderator:
Huyu ni noma....

Kuna vijamaa kavionyesha njia mjini vinajifanya eti mimi nimesoma sana wakati mtu ana kiji degree cha uzamili...

Mbowe hao wasomi wote kina Baregu,Safari Slaa Tundu Lissu wote yeye ndie boss wao
yeye ndo Tajiri wa chama na anachokifanya hakuna wa kukipinga
Zitto alijaribu but kashindwa.....tofauti ya Mbowe na hao wote ni kuwa Mbowe ni 'mtoto wa mjini'
 
Back
Top Bottom