FreeBasics: Lipo la kufanyiwa kazi kwa Haraka Wizara ya Utumishi

balimar

JF-Expert Member
Sep 18, 2015
7,565
13,285
Ni kweli tuna malalamiko yaliyodumu kwa muda mrefu kwenye utumishi wa Umma

Malimbikizo ya Mishahara

Madaraja yaliyozuiliwa na vyeo tangu 2013 kuna watumishi wanadai madaraja au vyeo viwili (mseleleko ndio muafaka)

Mapunjo ya mishahara yapo kwenye mfumo huo wa mshahara yaliratibiwa

Hela za uhamisho (yapo yale yaliopo tamisemi; hasa yale ya muda mrefu, na mengine yapo huku halmashauri)

Muundo mpya wa utumishi tulioahidiwa na Waziri Mkuu kuwa serikali inaufanyia kazi bado haujatoka mpaka leo

Kufanana kwa mishahara kati ya watu wenye Elimu moja na Idara moja ingawa HALMASHAURI ni tofauti

Pia, inahuzunisha sana jamani yaani masters ya Elimu hiyohiyo ukifanya kazi HALMASHAURI mshahara ni tofauti na anaefundisha chuo tena wengine hata sifa za kufundisha hivyo vyuo unakuwanazo na zaidi

Kama kigezo ni elimu basi lazima mishahara idara ya elimu bila kujali upo primary, sekondari, chuo au HALMASHAURI provided sifa muwe mnafanana. Utofauti wa mshahara baina ya wafanyakazi wenye Elimu au vigezo vinavyofanana inakatisha tamaa sana kwenye ufanyaje kazi

Mwisho, jamani tunapojiendeleza kielimu lengo ni kuboresha utendaji wetu wa kazi wa kila siku na hatimae tija. Sasa bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) isitumike kama fimbo ya kutuadhibu hasa sisi wa utumishi wa Umma. Mbona tumesoma kuja kuwafundisha watanzania wanatakiwa kupata Elimu Bure. Hili nalo lifanyiwe kazi

Naamini, kupembua kwa umakini mnaweza kuja na muarobaini wa kero hizi na serikali ikalipa fedha kitu ambacho kitaijengea heshima sana serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Rais Samia Suluhu Hasani
 
Ni kweli tuna malalamiko yaliyodumu kwa muda mrefu kwenye utumishi wa Umma

Malimbikizo ya Mishahara

Madaraja yaliyozuiliwa na vyeo tangu 2013 kuna watumishi wanadai madaraja au vyeo viwili (mseleleko ndio muafaka)

Mapunjo ya mishahara yapo kwenye mfumo huo wa mshahara yaliratibiwa

Hela za uhamisho (yapo yale yaliopo tamisemi; hasa yale ya muda mrefu, na mengine yapo huku halmashauri)

Muundo mpya wa utumishi tulioahidiwa na Waziri Mkuu kuwa serikali inaufanyia kazi bado haujatoka mpaka leo

Kufanana kwa mishahara kati ya watu wenye Elimu moja na Idara moja ingawa HALMASHAURI ni tofauti

Pia, inahuzunisha sana jamani yaani masters ya Elimu hiyohiyo ukifanya kazi HALMASHAURI mshahara ni tofauti na anaefundisha chuo tena wengine hata sifa za kufundisha hivyo vyuo unakuwanazo na zaidi

Kama kigezo ni elimu basi lazima mishahara idara ya elimu bila kujali upo primary, sekondari, chuo au HALMASHAURI provided sifa muwe mnafanana. Utofauti wa mshahara baina ya wafanyakazi wenye Elimu au vigezo vinavyofanana inakatisha tamaa sana kwenye ufanyaje kazi

Mwisho, jamani tunapojiendeleza kielimu lengo ni kuboresha utendaji wetu wa kazi wa kila siku na hatimae tija. Sasa bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) isitumike kama fimbo ya kutuadhibu hasa sisi wa utumishi wa Umma. Mbona tumesoma kuja kuwafundisha watanzania wanatakiwa kupata Elimu Bure. Hili nalo lifanyiwe kazi

Naamini, kupembua kwa umakini mnaweza kuja na muarobaini wa kero hizi na serikali ikalipa fedha kitu ambacho kitaijengea heshima sana serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Rais Samia Suluhu Hasani
Kuhusu watumishi wa Umma umemaliza.
Mama achukue hicho kipande akifanyie kazi
 
Hakuna Wizara yenye Watendaji wenye Roho mbaya, kauzibe kama Utumishi. Bila Aibu wala sababu ya Msingi zaidi ya Roho mbaya unamnyima au unamrudisha Nyuma kimaslahi na mshahara Mtumishi aliyejiendeleza eti kachepuka hajasoma anachofanyia Kazi. Sina hamu na Sheria Yao. Kandamizi ya recategorization
 
Ni kweli tuna malalamiko yaliyodumu kwa muda mrefu kwenye utumishi wa Umma

Malimbikizo ya Mishahara

Madaraja yaliyozuiliwa na vyeo tangu 2013 kuna watumishi wanadai madaraja au vyeo viwili (mseleleko ndio muafaka)

Mapunjo ya mishahara yapo kwenye mfumo huo wa mshahara yaliratibiwa

Hela za uhamisho (yapo yale yaliopo tamisemi; hasa yale ya muda mrefu, na mengine yapo huku halmashauri)

Muundo mpya wa utumishi tulioahidiwa na Waziri Mkuu kuwa serikali inaufanyia kazi bado haujatoka mpaka leo

Kufanana kwa mishahara kati ya watu wenye Elimu moja na Idara moja ingawa HALMASHAURI ni tofauti

Pia, inahuzunisha sana jamani yaani masters ya Elimu hiyohiyo ukifanya kazi HALMASHAURI mshahara ni tofauti na anaefundisha chuo tena wengine hata sifa za kufundisha hivyo vyuo unakuwanazo na zaidi

Kama kigezo ni elimu basi lazima mishahara idara ya elimu bila kujali upo primary, sekondari, chuo au HALMASHAURI provided sifa muwe mnafanana. Utofauti wa mshahara baina ya wafanyakazi wenye Elimu au vigezo vinavyofanana inakatisha tamaa sana kwenye ufanyaje kazi

Mwisho, jamani tunapojiendeleza kielimu lengo ni kuboresha utendaji wetu wa kazi wa kila siku na hatimae tija. Sasa bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) isitumike kama fimbo ya kutuadhibu hasa sisi wa utumishi wa Umma. Mbona tumesoma kuja kuwafundisha watanzania wanatakiwa kupata Elimu Bure. Hili nalo lifanyiwe kazi

Naamini, kupembua kwa umakini mnaweza kuja na muarobaini wa kero hizi na serikali ikalipa fedha kitu ambacho kitaijengea heshima sana serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Rais Samia Suluhu Hasani
Nikisikia hivi vilio vya watumishi wa umma,huwa nawaona kama watoto wanaodeka deka,kila mtu analipa kodi,sukari ikipanda inaumiza wote hata wa sekta binafsi,sasa hiki kitu Cha watumishi wa umma kutaka kuongezewa mshahara kila mwaka,kupanda vyeo baada ya Muda,hivi ni kipi Cha upekee wanachofanya watumishi wa umma ambao wengine hawafanyi?kama kuna Cha kipekee mbona mashirika ya umma yalikufa,na yakiotobaki yapo hoe hae,TTCL,ATCL,kwanini kuna upendeleo huu kwa watumishi wa umma?logic ipo wapi?kwanini mishara isiongezwe kwa kigezo Cha Elimu na wingi wa majukumu,
Watumishi wa umma Kwanza wanakopesheka,wanajengewa nyumba,pesa za uhamisho hayo yote hayawatoshi?
Mnalia lia sana,
 
Nikisikia hivi vilio vya watumishi wa umma,huwa nawaona kama watoto wanaodeka deka,kila mtu analipa kodi,sukari ikipanda inaumiza wote hata wa sekta binafsi,sasa hiki kitu Cha watumishi wa umma kutaka kuongezewa mshahara kila mwaka,kupanda vyeo baada ya Muda,hivi ni kipi Cha upekee wanachofanya watumishi wa umma ambao wengine hawafanyi?kama kuna Cha kipekee mbona mashirika ya umma yalikufa,na yakiotobaki yapo hoe hae,TTCL,ATCL,kwanini kuna upendeleo huu kwa watumishi wa umma?logic ipo wapi?kwanini mishara isiongezwe kwa kigezo Cha Elimu na wingi wa majukumu,
Watumishi wa umma Kwanza wanakopesheka,wanajengewa nyumba,pesa za uhamisho hayo yote hayawatoshi?
Mnalia lia sana,
Sidhani kama upo sahihi sana; watumishi wa Umma hawaamki tu asubuhi na kutaja baadhi ya madai yao bali yaliandikwa kwenye mkataba na taratibu walizojiwekea na mwajiri wao..iwapo mwajiri anaona sheria..kanuni na taratibu hazimfai tena anatakiwa kuyafuta na kuwapa taarifa mwajiriwa iwapo yupo tayari kuendelea na kazi au laa.

Siyo kukaza shingo kwa kuendelea kukanyaga masharti ya ajira dhidi ya mwajiriwa huku akiitaji mwajiriwa atoe natokeo chanya.

Hao waajiriwa wa private wao pia wanazo taratibu zao waliojiwekea na bosi wao/mwajiri wao kazi hazifuatwi basi wanastahili kukumbushwa.
 
Sidhani kama upo sahihi sana; watumishi wa Umma hawaamki tu asubuhi na kutaja baadhi ya madai yao bali yaliandikwa kwenye mkataba na taratibu walizojiwekea na mwajiri wao..iwapo mwajiri anaona sheria..kanuni na taratibu hazimfai tena anatakiwa kuyafuta na kuwapa taarifa mwajiriwa iwapo yupo tayari kuendelea na kazi au laa.

Siyo kukaza shingo kwa kuendelea kukanyaga masharti ya ajira dhidi ya mwajiriwa huku akiitaji mwajiriwa atoe natokeo chanya.

Hao waajiriwa wa private wao pia wanazo taratibu zao waliojiwekea na bosi wao/mwajiri wao kazi hazifuatwi basi wanastahili kukumbushwa.
Nashukuru sana kukukumbusha hili

Ajira ni Mkataba kati ya Mwajiri na Mwajiriwa

Mwajiri huyu amekanyaga sana mshari ya kimkataba kati yake na mwajiriliwa kwa takribani miaka saba sasa

Lakini naamini muda ungalipo na kinachohitajika ni utashi tu wa serikali kitekeleza hayo tunaomba

Naamini hatupo mbali na utekelezaji wa hili kwa serikali sikivu hii

Asante
 
Huyu mtumishi wa umma amekuwa kama punching bag ya watawala, wamemwondolea allowance za nyumba, usafiri kwenda na kurudi kazini, maji, ummeme nk. wamebakiza mshahara tupu, miaka 7 hakuna nyongeza na madaraja kinyume na mkataba, mafao yake ya kustaafu yanawindwa kama mpira wa kona, unakuta senior officer hata mwenye PhD anadandia daladala, mshahra wake hautoshi hata kukopa pesa ya kununua ist, jamani waoneeni huruma angalau walinde status zao....
 
Nikisikia hivi vilio vya watumishi wa umma,huwa nawaona kama watoto wanaodeka deka,kila mtu analipa kodi,sukari ikipanda inaumiza wote hata wa sekta binafsi,sasa hiki kitu Cha watumishi wa umma kutaka kuongezewa mshahara kila mwaka,kupanda vyeo baada ya Muda,hivi ni kipi Cha upekee wanachofanya watumishi wa umma ambao wengine hawafanyi?kama kuna Cha kipekee mbona mashirika ya umma yalikufa,na yakiotobaki yapo hoe hae,TTCL,ATCL,kwanini kuna upendeleo huu kwa watumishi wa umma?logic ipo wapi?kwanini mishara isiongezwe kwa kigezo Cha Elimu na wingi wa majukumu,
Watumishi wa umma Kwanza wanakopesheka,wanajengewa nyumba,pesa za uhamisho hayo yote hayawatoshi?
Mnalia lia sana,
Waambie wabunge wako wafute kanuni walizoziweka wenyewe,Hafu kwa nini unawivu hivyo kiongozi!?Hujui kama watumishi wakilipwa vizuri na mzunguko wa fedha unakuwa mkubwa?Na pia kuanguka kwa mashirika hayo uloyataja ni kwakuwa tuna sera mbovu ya biashara na kushindwa kwendana na ushindani uliopo sokoni.
 
Waambie wabunge wako wafute kanuni walizoziweka wenyewe,Hafu kwa nini unawivu hivyo kiongozi!?Hujui kama watumishi wakilipwa vizuri na mzunguko wa fedha unakuwa mkubwa?Na pia kuanguka kwa mashirika hayo uloyataja ni kwakuwa tuna sera mbovu ya biashara na kushindwa kwendana na ushindani uliopo sokoni.
Hajui kwamba hata mishahara ukipandisha ndipo unapata kodi kubwa zaidi.
 
Nikisikia hivi vilio vya watumishi wa umma,huwa nawaona kama watoto wanaodeka deka,kila mtu analipa kodi,sukari ikipanda inaumiza wote hata wa sekta binafsi,sasa hiki kitu Cha watumishi wa umma kutaka kuongezewa mshahara kila mwaka,kupanda vyeo baada ya Muda,hivi ni kipi Cha upekee wanachofanya watumishi wa umma ambao wengine hawafanyi?kama kuna Cha kipekee mbona mashirika ya umma yalikufa,na yakiotobaki yapo hoe hae,TTCL,ATCL,kwanini kuna upendeleo huu kwa watumishi wa umma?logic ipo wapi?kwanini mishara isiongezwe kwa kigezo Cha Elimu na wingi wa majukumu,
Watumishi wa umma Kwanza wanakopesheka,wanajengewa nyumba,pesa za uhamisho hayo yote hayawatoshi?
Mnalia lia sana,

Wewe unachoongea hakijui, nadhani utakuwa mtaani tu achilia kwamba upo sekta binafsi inayojielewa kulipwa mshahara mkubwa na marupurupu kibao ikiwemo nyumba!, mtumishi wa Umma kupanda madaraja ni kwa mujibu wa sheria wala siyo msamalia mwema kutoka kwa kiongozi fulani, hayati yeye kwa makusudi alizuia hii kitu, Ndiyo maana mdau anasema Ndiyo muda muafaka wa kurejesha haya mambo ambayo ni matakwa kisheria, acha kukariri kwamba watumishi wa serikali wanakopesheka, unajua hiyo mikopo inawatesa kiasi gani na kwa muda gani? Isitoshe sekta binafsi zinazojitambua pia zinakopesha hela nyingi tu!
 
Huu uzi auone Waziri Mchengerwa,una hoja za msingi sana.Asiishie kukaa tu na wasaidizi wake wizarani.Wajipange wapite kwenye halmashauri waonane na watumishi wenye kero sugu ili kuzipatia ufumbuzi.Mfano mdogo tu ni huu wa ulipwaji wa malimbikizo.Kweli uhakiki wa Malimbikizo uchukue miaka na bado mlipe tena Malimbikizo hayo kwa baadhi tu na wengine waendelee kusota????Huku Mh Waziri wa Utumishi akijinasibu Fedha zipo kwa ajili ya malipo ya Malimbikizo????Kwa kweli haiingii akilini.Labda kwa kuwa wenzetu mpo kwenye viyoyozi na mav8 ,inawezekana kabisa hamzijui adha wanazozipitia watumishi wa nchi hii.

KAMA KWELI MNA NIA YA KUWASAIDIA WATUMISHI.MAANISHENI KWA VITENDO.MAANA MANENO MENGI WAKATI BADO WATUMISHI WANASOTA HAYANA MAANA.
 
Back
Top Bottom