kikositija
Senior Member
- Jun 19, 2017
- 123
- 103
poleni na majukumu ya kuijenga Tanzania mpya,
ndugu zanguni hali ya mambo duniani inaenda kasi sana kiasi usipotumia mianya hupati upenyo....
sasa, kuna hii kitu inaitwa wifi..ni nini? na mara nyingi kwenye simu yangu inanitaka password ili kuwa connected...je wahuvi wa mambo hakuna janjajanja ya kujiunga bila kuingiza password?
you are active to activate new Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu zanguni hali ya mambo duniani inaenda kasi sana kiasi usipotumia mianya hupati upenyo....
sasa, kuna hii kitu inaitwa wifi..ni nini? na mara nyingi kwenye simu yangu inanitaka password ili kuwa connected...je wahuvi wa mambo hakuna janjajanja ya kujiunga bila kuingiza password?
you are active to activate new Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app