Free talk: Mwanamke shtuka!

Mkwe tunawaheshimu sana, shetani na ASHINDWE.
 
Maneno mazito sana haya, angalau mwamko sasa upo ila sio kihiiivyo.
Hapo pa marafiki napo ni janga kwakweli, unakuta rafiki kila unachotaka kujaribu anakukatisha tamaa mwisho wa siku unaacha na ukija kustuka its too late.
 
Maneno mazito sana haya, angalau mwamko sasa upo ila sio kihiiivyo.
Hapo pa marafiki napo ni janga kwakweli, unakuta rafiki kila unachotaka kujaribu anakukatisha tamaa mwisho wa siku unaacha na ukija kustuka its too late.
Mie huwa nina kautaratibu kangu kamoja, kabla sijamfanya mtu rafiki mpaka wa kuanza kujua ni nini nafanya (sio vyote) naanza kumuasses mapema, kama ni wale wale asitegemee nimuombe ushauri ama kumshirikisha ni nini nataka kufanya....Wengi wanakuwaga na kauli za kukatishana tamaa kitu nisichokipenda.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…