Free talk: Mwanamke shtuka!

AISEEE
 
Yap: ni kweli mkuu

Ni vyema kusaidiana coz huwezi jua, unaemsaidia leo anaweza kukusaidia na wewe kesho.

Wanawake ni watu wa kulipa fadhila na unapowekeza kwa mwanamke umewekeza sehemu stahiki, kwani wakiwezeshwa wanaweza
 
Nimefurahi ulivotambua majukumu mazito mnayotutwisha, hapo hapo bado eti tuwafikishe na mlimani looh, no wonder baadhi yetu tunakuwa wabinafsi kunako bhana, si kwa majukumu haya!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…