Free talk: Mwanamke shtuka!

espy ningekuwa napendeka ningekuwowa mimi...
 
Whaaaaat!? Carbamazephine huyu huyu ninaemjua mimi au mwingine?
Heeee jf simama nishuke zangu mie!

Vipi lakini u buheri wa afya? Nimekuham kweli best
Nimekumis pia dia,
Ndio hivyo yametokea muulize espy atakwambia vizuri maana yeye ndiye alinipeleka sehemu walipokuwa wanakula raha zao
 
Home ndiko ofisi yako kuu,

Hapa tu ndipo sijapaelewa, nikifanya home ndio Ofisi yangu Kuu....kesho Mola akakuita....nitaanzaje kutafuta Kazi maana huko nje hata sikujui kulivyo na sina Experience nje ya Nyumbani?
 
Whaaaaat!? Carbamazephine huyu huyu ninaemjua mimi au mwingine?
Heeee jf simama nishuke zangu mie!

Vipi lakini u buheri wa afya? Nimekuham kweli best
Nimekumis pia dia,
Ndio hivyo yametokea muulize espy atakwambia vizuri maana yeye ndiye alinipeleka sehemu walipokuwa wanakula raha zao
 
Whaaaaat!? Carbamazephine huyu huyu ninaemjua mimi au mwingine?
Heeee jf simama nishuke zangu mie!

Vipi lakini u buheri wa afya? Nimekuham kweli best
Nimekumis pia dia,
Ndio hivyo yametokea muulize espy atakwambia vizuri maana yeye ndiye alinipeleka sehemu walipokuwa wanakula raha zao
 
Yeah but i am sorry jamii tunayoishi na gamaduni zinaenda otherwise. The answers is impossible. Hakuna 50/50 kwenye mapenz

Nakubaliana na wewe kwa sababu umetaja JAMII na TAMADUNI zinzokuzunguka.

Kwa Upande mwigine ni kitu kinachowezekana na kinafanyika.
 
Hapa tu ndipo sijapaelewa, nikifanya home ndio Ofisi yangu Kuu....kesho Mola akakuita....nitaanzaje kutafuta Kazi maana huko nje hata sikujui kulivyo na sina Experience nje ya Nyumbani?
Umenyofoa kipengele kidogo sana ktk mengi niliyoandika..
Nimesema ntakuruhusu ufanye biashara au kazi lkn yenye mazingira rafiki na kutunza familia
 
Umenyofoa kipengele kidogo sana ktk mengi niliyoandika..
Nimesema ntakuruhusu ufanye biashara au kazi lkn yenye mazingira rafiki na kutunza familia

Nimenyofoa nikuonyeshe ni wapi sijakuelewa.
Sawa kama utanipa ruhusa ya kujiendeleza kibiashara ni vizuri,,nilidhani uliposema Home ndio ofisi kuu...nilipiga picha nikaona nitamaliza siku nzima nafanya kazi za nyumbani na kuangalia familia tu....kumbe naweza kufanya mambo yangu mengine.(working from home)
 
Naam walengwa pitieni huku mpate ujumbe mubashara
 
Kabisa, kusaidiana muhimu but lzm mimi niwe juu kwa kila kitu kuanzia uchumi nk. Kuhusu kipato chako kitasaidia nikitetereka.
Sio tu nitakuruhusu biashara au kazi bali nitakuwezesha kukujengea uwezo katika kazi hizo.
Tukubaliane tu ukweli ni kwamba wengi wenu ke mnapoona me tunauwezo mnabaki kutaka mavazi, magari ili muonekane mko juu na hamfikirii kuhusu kesho yenu na familia.
 
Wacha we!!
 
wengi wenu ke mnapoona me tunauwezo mnabaki kutaka mavazi, magari ili muonekane mko juu na hamfikirii kuhusu kesho yenu na familia.

Basi hao wachache waliobakia na akili ya kujiendeleza wawaambukize na hao wa kujipodoa tu.
Naamini kama unasema utakuwa kichwa basi utaweza kubadilisha mawazo ya wapendao kijipodoa, magari na kuwapa akili ya kujiendeleza kwa manufaa ya familia na sio kuwaendeleza wauza magauni, magari na vipodozi tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…