Kuwa na moyo wa uthubutu sio mchezo, kuna mieleka mingi sana. Ila hatupaswi kukata tamaa.Hizo seminar mbona ni nyingi sana..na hata redioni kuna vipindi vya uhamasishaji na uelimisha...elimu zinatolewa sana tu..ila nisisi tu wenyewe kutokuzifanyia kazi
Umemchoka mwenzio. Box tena??Umenena vyema Espy, kwa kweli ni wanawake wachache sana kwasasa wanaofikiria maendeleo kwa jitihada zao wenyewe pasipo kuwepo mkono wa mwanaume.
Unakuta dada kaajiriwa (binafsi/serikali) na ana muda hata wa zaidi ya miaka mitatu kazini lakini hana lolote alilowekeza zaidi ya kuhangaika na fashion kila siku... Wengi hatukumbuki kuwa nafasi na muda tulionao sasa baadaye tunaweza tusiupate, nyakati zinabadilika uchumi nao unakuwa sio rafiki.. Siku utakayoingiwa na akili ya kufanya kitu angalau kikaonekana cha manufaa kwako na kwa yeyote ajaye (mume/watoto) ndo utakapo ng'amua kuwa huna tena uwezo wa kufanya hivyo na ndipo itabaki tu simulizi kuwa yule dada enzi zake alikuwa yuko vizuri kiuchumi...Muda huo akili unayo lakini huna vitendea kazi.
Mambo mengine tuwe tunayaacha yanatupita, si lazima kuyumbishwa na dunia, kushoto upo, huku upo , kule upo yaani kila kinachokuja umo....
Tujaribu pia kuangalia na aina ya marafiki wa kuambatana nao, wao kila siku wazungumzia fashion mpya tu na kutambiana madanga, wafikiri lini utapata wazo la kusema uinvest kwenye kitu cha maana???
Nimewahi kuwa na rafiki, alinizidi kwa umri (miaka 6) lakini sioni alichokuwa akinifaidisha zaidi ya kunipa stori tu za kupelekana maduka ya mikoba + nguo + viatu + stori za madanga aliyonayo...
Nikimshauri mawazo mazuri utasikia maisha yenyewe hayaeleweki, tutumie....Nikaona hili BOX halinifai...
*Kama una uwezo na nafasi ya kufanya kitu fanya, huyo mume endapo utajaaliwa aje akute angalau una pa kuegemea...Mkiunganisha nguvu pamoja angalau mnakuwa mmejisogeza sogeza....
Acha fujo!!!Teh teh teh teh, hivi mwanaume mwenye hela zako unaanzaje kusumbuliwa na binti moja kweli ???
Unless huyo dogo wako hana pesa nyingi kivile, halafu pesa hata ufiche huwa inaonekana mazee yani huwezi ficha kabisa. Tukikuangalia tu tunafahamu kwamba hapa huyu jamaa kapigwa na upepo wa pesa. Sasa dogo lako lina hela halafu linasumbuliwa na kibinti cha hovyohovyo kweli ??? Bwahahaha, huyo dogo mumchangamshe kabisaa.
Tusiposomeshwa ujue nawe umechangia, kaone!!!Mimi kuna moja hivi Braza alitafutia kazi na Scholarship ya PhD lakini alichokuja kufanywa, teh teh teh teh!
Nidyo maana mimi kama namsaidia mwanamke huwa namsaidia bure tu kwasababu nimeamua, lakini nje ya hapo huwa sitegemei sanaaaa kutoka kwao. Its a racket, kufanya betting ya maisha na mwanamke...
Mhhh, huwa sitoagi fursa kwa dada zangu bwana, mnaweza kuniingiza mitini halafu nkashindwa kukudai.Yaani my kaka hauchezi mbali na fursa eti! Nipe kwanza mimi dada yako.
Dogo kazubaa sana.Acha fujo!!!
Mimi nasema ukweli ambao nimewahi ku-experience kwa mtu na kwangu, hii ni kamali mbaya sana. Yaani kweli huyo mwanamke awe wa tofauti sana sana.Tusiposomeshwa ujue nawe umechangia, kaone!!!
Kweli hapana chezea kabisa, weka mbali na vijana wa DarThe power of papuchi
Eeeeeh, kumbe janja yote hii hujui kabisaa ???Naomba ufafanuzi wa huu ushemeji.
Kwahiyo hako kaexperience kamoja ndio umesusa kabisa!!! Usifanye hivyo bwana.Dogo kazubaa sana.
Mimi nasema ukweli ambao nimewahi ku-experience kwa mtu na kwangu, hii ni kamali mbaya sana. Yaani kweli huyo mwanamke awe wa tofauti sana sana.
Kweli hapana chezea kabisa, weka mbali na vijana wa Dar
Ntakusaidia tu, kuwa na subira dada yangu mpendwa.Sasa unanidaije dada yako jamani?